Happy Birthday Shunie!!!!!!!

Asante sana mkuu kwa neno ubarikiwe mnooo ubarikiwe [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Atuweke sote kipenzi!
Mimi kila nikikumbuka wema wako kwangu nalia! Nawaza kama usingekuwepo ningekuwa namlilia nani mimi!

Ila kuna wakati anakuwaga mkali, sema tuu ushakuwa ndugu yangu jamanii! Love you
 
Awww!! Much thanks dear, bless u [emoji7][emoji8]
Nakupenda geni wangu

Dah [emoji22] mmejua kuniliza mimi sikutegemea kukutana na haya nawapenda sana yaani sana [emoji8][emoji8][emoji8]

Nyie wadada leo mmejua kuniweza Raynavero Sakayo mzigua90 [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] nawapenda

Asante sana Mello kwa kunikunitanisha na nyie kuna mda tunakwazana lakini baade tunakuja kupatana

Kama kuna nilichowakosea naombeni mnisamehe nawapenda sana [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…