Happy Birthday Shunie!!!!!!!

Asante sana mama mchungaji ni kweli kabisa uyasemayo [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] zidi kubarikiwa [emoji120][emoji120] nakupenda mm
 
Exactly!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaah
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]tafadhali usilie muda wa kubembeleza sina mie ujue!!!Lia nakuacha kwenye mataaaa yuleee!![emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhahahhahah nimemkumbuka Sakayo ghafla unavyoniambia mda wa kubembelezana hauna nimecheka vibaya sana
 
[emoji1][emoji1][emoji1]ulimtelekeza Dada wa watu kwenye mataaa loh!!!ukalala zako habari hupatii!mdada wewe hufaiii

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhaha nakwambia hajalala ile siku na alfajir anatakiwa aondoke nimejigeukia upande wa pili nimelala mie na mshkaki wake mmoja nikala mana nakumbuka hata chakula hajala mapenzi mapenzi jamaniiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Shikamoo mapenzi sasa akikumbuka anajichekea tu anajiuliza hivi yulee nilikua mm kweli
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]shunie Mungu anakuonaa...loohh!ukaupiga usingizi kama wotee!!

Mapenzi nomaa kabisaa!![emoji1][emoji1][emoji11]huyo unaemuwaziq mwenzio kalala miguu juu habari hapati!!!

Ila inauma asikuambie mtu!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Warereeeeee Mama Mchungaji in the making .

Binamu hata usiongee. Najua fika that maisha ya kiroho ya mtu ni too personal, ni mtu binafsi ndo anayejua nini anafanya na Mungu wake behind his/her closed doors. Watu wa nje tunajudge vinavyoonekana kwa nje (especially mabaya), ila ni Mungu tu ndo anayejua ya sirini kwa mtu. So siku nikimuona shunie madhabahuni wala sitoshangaa, maana sijui Mungu ana kusudi gani naye na kwa wakati gani

Btw upunguze kujificha khaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…