ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Nina aibu sana ujuwe[emoji39][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaka jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina aibu sana ujuwe[emoji39][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaka jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eeeenh wakina nani hao
Yaani
Niogoha imi, nachekacheka tuu jamani!! Yeye anapanga world cup na Karma
Umesahau niko wapi?Mkwe leo mbona kama umeamka na upako wa kizaramo...
Yule lazima atakuwa wa huko tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni wa TA?!
Hahhahaha[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Tanga hapana, wanashinda na msuli tuu jamani kaka!! Watanitoa kizazi mimi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we mzee chizi sanaNapenda ndio, niambie wewe hupendi tumuaibishe shetani.
Namshukuru Mungu kwa kweli, tarehe kama ya leo miaka arobaini iliyopita, alizaliwa kipenzi, rafiki, dada, mdogo wangu mzuri mzuri jamani
Happy birthday My lovely friend Shunie!!!
Lete digits tutume na ya kuanzia mwaka kabisa.Ebu tumeni mihamala jamani
Hahahha auntie msiniambie mnataka nikeshe kwenye hii thread mbona nitakoma mimiNani iko ficha wewe?
Nipo tu hapa nasoma huku moyo ukiniuma sana.Weeeeh umemsahau anko wako wa ukweli? Yule ndio anabeba tuzo za ma-anko zako wote. Halafu shammiss tayari[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]