Uongo huo wa mchana kweupe... Ukute wewe ni zaidi yangu[emoji23][emoji23]
Asante mpenzi wangu [emoji8][emoji8]
Asante mnoo jamani kwahiyo umekuwa kaka kabisaKaka ake sakayo, hilo ndio jina rasmi "kwa sasa"!! Hongera kwa kukuwa mkubwa.
Hujajibu swali.Hahahha auntie msiniambie mnataka nikeshe kwenye hii thread mbona nitakoma mimi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah imebidi nicheke tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani unafikiri tunamzungumzia nani?Nipo tu hapa nasoma huku moyo ukiniuma sana.
Kwa sakayo jamani ndio nipo nae kwake tuma zawadi kwanza
Ameen AuntieMungu atakunyooshea yoote maana hakuna kinamshinda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eeehhhh
Homa ya ini
Yule anko sio kabisaa! Akiishiwa ndo huwa anakuja kwako!!Weeeeh umemsahau anko wako wa ukweli? Yule ndio anabeba tuzo za ma-anko zako wote. Halafu shammiss tayari[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Nimeuliza jamani siwaelewi hata kutoka kubebishana mpaka kwenye ukaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Fala wewe
Lipi
[emoji41][emoji848]Umesahau niko wapi?