[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi sitaki jamaniHata simuelewagi!! Au picha aliziiba gugo
Pole sana jamani mdogo wangu mzuri mzuri jamani
Weka top ten yako na mimi nitaweka top ten yangu. Tunaendelea kumuaibisha shetani [emoji39][emoji39][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haki vile hauwezi amini halafu,, wewe inaonekana hiyo ni starehe yako ya kwanza kwenye list yako ila mie nikipanga list yangu hiyo hata kwenye top ten haipo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu alinitelekeza, sikuku ilivyoisha ndio akarudi. Yule anko wako sasa ndio wa ukweli, shida zangu za kiroho,kimwili na kiuchumi alikuwa anamaliza zooote. Huyu mpare maneno tuuuu[emoji134][emoji134][emoji134]Yule anko sio kabisaa! Akiishiwa ndo huwa anakuja kwako!!
Msimu huu wa siku kuu sijamtia machoni wala masikionii...
Ako wangu wa ukweli ni kaka Eli79 tuu
Kaka wa damu, hata akikaa vibaya naangalia pembeni hahaha!!Asante mnoo jamani kwahiyo umekuwa kaka kabisa
Kho kho kho kho kho kho kho kho kho kho kho
Huo mhamala usio na address unafikaje we besidei gelo?Ebu kwanza tuma muhamala wa zawadi we mzee jamani
Wapo, wamekuwa wahunii siku hizi. Eti nao wanakaa vijiweni ukipita wanakukonyeza [emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamasai humu wapo wachache sana jamani!! Hivi hao raia wapoo?!
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Mimi nawapenda, mnajua kubebisha sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mnaenda na treni au ndege [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85] si tunakuchukua na wewe jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasubiri address hivyo...Kwa sakayo jamani ndio nipo nae kwake tuma zawadi kwanza
Wamang'ati watatufaa zaidi.Ndo wale wale!
Mimi nawajua wengi, ila nazidi kuwa mvumilivu tu. Tatizo ni ile kitu napata kutoka kwako.Kwani unafikiri tunamzungumzia nani?