Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Kwahiyo "shunie" katimiza miaka 40?Nimesoma hapo tu "miaka arobaini iliopita"
Happy birthday to her
Jamani Sakayo keki wapiiiiiiiiiNamshukuru Mungu kwa kweli, tarehe kama ya leo miaka arobaini iliyopita, alizaliwa kipenzi, rafiki, dada, mdogo wangu mzuri mzuri jamani na ndugu yangu kipenzi Shunie!!
Mungu azidi kukuinua zaidi, akupe kila unalohitaji mpenzi, najua kuna kipindi unapitia mengi sana na unataka kukata tamaa lakini naomba ujue nipo na wewe kwenye kila hatua! Nakuombea sana dada kipenzi, natamani kila siku iitwapo leo uwe na amani! Ndo maana nahakikisha kila siku iitwapo leo nakuombea mimi jamani!!
Shunie, mimi nakupenda sana! Siku yako ya leo naweza nisiwe na zawadi ya kuufurahisha moyo wako, ila jua zawadi kubwa kwako ni MAOMBI yangu kwako! Umejitolea kunipenda toka tukiwa vivuli mpaka sasa tupo pamoja!
Naweza nikawa nimekukosea sana mimi jamani, venye niko kivurugee naomba unisamehe mimi! Friends like you so genuine and true are rare to find, you are so genuine and true!
I hope your Birthday brings in more wisdom, street smartnes, luck and determination for you in the coming year!!!
Happy birthday My lovely friend Shunie!!!
Huyu ni msema kweli aisee! Siyo kama wale Bongo Movie ladies ambao hawatoki kwenye 20's.Nimesoma hapo tu "miaka arobaini iliopita"
Happy birthday to her
Hahaha mpaka 2022Mmmhhh
Happy birthday Mhenga mwenzangu Shunie,Namshukuru Mungu kwa kweli, tarehe kama ya leo miaka arobaini iliyopita, alizaliwa kipenzi, rafiki, dada, mdogo wangu mzuri mzuri jamani na ndugu yangu kipenzi Shunie!!
Mungu azidi kukuinua zaidi, akupe kila unalohitaji mpenzi, najua kuna kipindi unapitia mengi sana na unataka kukata tamaa lakini naomba ujue nipo na wewe kwenye kila hatua! Nakuombea sana dada kipenzi, natamani kila siku iitwapo leo uwe na amani! Ndo maana nahakikisha kila siku iitwapo leo nakuombea mimi jamani!!
Shunie, mimi nakupenda sana! Siku yako ya leo naweza nisiwe na zawadi ya kuufurahisha moyo wako, ila jua zawadi kubwa kwako ni MAOMBI yangu kwako! Umejitolea kunipenda toka tukiwa vivuli mpaka sasa tupo pamoja!
Naweza nikawa nimekukosea sana mimi jamani, venye niko kivurugee naomba unisamehe mimi! Friends like you so genuine and true are rare to find, you are so genuine and true!
I hope your Birthday brings in more wisdom, street smartnes, luck and determination for you in the coming year!!!
Happy birthday My lovely friend Shunie!!!
Hahhaha na ukaishia hapo hapo mkuu watu vibibi gagula humuNimesoma hapo tu "miaka arobaini iliopita"
Happy birthday to her
Mimi kidume cha mbegy mkuu wanguHUWA NAAMINI KAMA HUMU NDANI ASILIMIA 90 YA IDs ZA KIKE NI ZA WANAUME.
Anyway HBD kwako sijui mdada