Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
[emoji120][emoji120][emoji120] Ameen mkuu3 YOH. :1:2
Mpenzi naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya yako, kama vile roho yako ifanikiwavyo.
Heri ya kuzaliwa kwake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji120][emoji120][emoji120] Ameen mkuu3 YOH. :1:2
Mpenzi naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya yako, kama vile roho yako ifanikiwavyo.
Heri ya kuzaliwa kwake
Shukrani kush
Asante hazard akee
Tantee kipenzi
Nakupenda zaidi jamani dear!!Asante Sakayo wangu nakupenda [emoji8][emoji8]na unalijua hili nasoma uku machozi yananitoka, Asante Mungu wangu kwa kuniletea we mtu endelea tu kuniombea ninayopitia Mungu wetu afanye wepesi wake peke yangu siwezi mimi bila yeye.
Nimefika kwenye miaka 40 iliyopita nimecheka sana ila ujue uzee umenikaribia kesho kutwa tu nitaitwa bibii shunie [emoji16] mbona miaka 40 iliyopita chizi wangu bwana.
Thank u DamHappy birthday to you
Asante shemHappy birthday to her.
Aww [emoji8][emoji8][emoji8]
Auntie ngoja kwanza haya mambo yameanza lini jamani ya kubadilika hiviHeri ya siku ya kuzaliwa kwako auntie, ukue mkubwa mkubwa ili usile vitenge vyangu. Mungu akujaalie kila lililo heri mama.
Happy Born Day rafikiAsante Sakayo wangu nakupenda [emoji8][emoji8]na unalijua hili nasoma uku machozi yananitoka, Asante Mungu wangu kwa kuniletea we mtu endelea tu kuniombea ninayopitia Mungu wetu afanye wepesi wake peke yangu siwezi mimi bila yeye.
Nimefika kwenye miaka 40 iliyopita nimecheka sana ila ujue uzee umenikaribia kesho kutwa tu nitaitwa bibii shunie [emoji16] mbona miaka 40 iliyopita chizi wangu bwana.
Thank u Dear halafu usitake kunipa bichwa basiDear Shunie,
Your presence on this platform has brought Joy and happiness to many hearts.
Happy Womb Escape day.
[emoji170][emoji170]
Ndio mkuuKwahiyo "shunie" katimiza miaka 40?
Asante mnoo kaka angu ubarikiweHappy birthday dada yangu.
Cake usininyime.
Birthday yako haipishani mbali na Yesu.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Mmmhhh
Niko apa jamani nimefanya kukulupushwa uko nije jfMbona shunie hajibu? Mwite basi arespond hizi wishes