ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Asante mdogo wangu!!Namsikiliza mimi jamani!!
Mtu anakulove mbele za watu namna hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mdogo wangu!!Namsikiliza mimi jamani!!
Mtu anakulove mbele za watu namna hii
Weeeeh!! Wapare ndio utaugua magonjwa hayapo duniani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nitafutie mpare hebu
Asante mnoo [emoji120][emoji120]Eli sijui x shem sijui Kaka akee sakayo yaani siwaelewi mieMimi nakutakia kila la heri, maisha yenye afya tele na mafanikio makubwa katika uchumi Shunie
Japo ukweli ni kuwa Mungu hawezi kukufanikisha katika mambo yako yote.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120] [emoji8][emoji8][emoji8]
Huyu ni mali ya umma hata sio wangu.Huyo ndo wako mama!!
Hahhaha mjeda ukuje hukuMuulize mjeda
Napenda ndio, niambie wewe hupendi tumuaibishe shetani.Hivi Eli unapenda chini enh?? [emoji87][emoji87][emoji87][emoji87] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] samahani kwa hilo swali maana daah!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaah jamani unajikana au me ndio sielewiMjeda nani eti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Zawadi zote zipite kwangu nizikague!!
Unauguaje magonjwa ya hivyo halafu mtu yuko busy na wolidi kapu[emoji134][emoji134][emoji134][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi ni nani mpaka nipingee jamani dear!!
Kaugonjwa nakaona kabisaa jamani mimi
Mbona anajikana kwako jamaniWewe apoo
Nilijua tu! Kisa tu hunipendi, unaendelea kunisingizia..Unauliza makofi polisi? Mpare huyo. Wazee wa kupambana chini kwa chini.
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
NdioJamani jamani! Sisi nini..???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Auntie nimecheka sanaKwahiyo kaka umeamua kumsaidia Mungu kazi?