Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ukijisikia tu kama unitakie happy birthday au vipi jamani ni vile unavyojisikia tu ili uwe na amani ya moyo mzee wa churaNaruhusiwa kukutakia happy birthday?[emoji41][emoji41][emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23] Alivyo mbahili sasa woiiiiiNakazia mimi jamani
Asante Kaka angu jamani ubarikiwe mnooHappy belated birthday Shunie wetu, Mungu Akupe umri mrefu katika afya njema na furaha tele
Niko naisubiri kwa hamu tukila nyama zetu choma na kushushia na vitu laini laini
Usijali wala nini utafurahi mbonaNiko naisubiri kwa hamu tukila nyama zetu choma na kushushia na vitu laini laini
Hahhaha mimi ni nani nikubishie boss lady wangu [emoji847][emoji847][emoji847]
Happy belated birthday shunie akeJamani birthday bado inaendelea mpaka mwaka uishe huu endeleeni kutuma zawadi sawa eenh View attachment 1306568
Asante carba akee jamani [emoji8][emoji8][emoji8]
AiseeeJamani birthday bado inaendelea mpaka mwaka uishe huu endeleeni kutuma zawadi sawa eenh View attachment 1306568
Worry out my mkweHaya naomba zawadi basi utume kwa tigo pesa kwa mkweo wa kununa nuna
😀😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shauri yakooo
Haya niko nasubiriWorry out my mkwe
Ebu ukooo bado upo kibanda umizaAiseee
Hahahaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sema ukweli bana