ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Mimi natumia maji juice fresh na mtindimi nakunywa choda tu kama wewe...🤣
Soda sitaki kua na kitambi kama chako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi natumia maji juice fresh na mtindimi nakunywa choda tu kama wewe...🤣
😀 kwa hili nakuacha nalo mwenyewe maana moderator wataingilia..Nakaaje kwenye line wakati umiliki mtandao wowote wa simu zaidi ya smart kitochi
Hayo ni madhara ya kuto omba..Umevamia kambi ya watu au sio? Unajifanya huoni?
Lazima waingilie sababu wanaona jinsi unavyopenda kunifatafata kila ninapoenda😀 kwa hili nakuacha nalo mwenyewe maana moderator wataingilia..
Hizi notes nitazitumia kwa mwingine sio huyuHuyo sasa ndio anakufaaa na mtaelewana vizuri!
Mwanzo mgumu komaa (Legend Nakupa past papers mdogo mdogo umeze kama zilivyo😂😁)
haya sawa bibie umeshinda yaishe...😂Lazima waingilie sababu wanaona jinsi unavyopenda kunifatafata kila ninapoenda
Hili ndilo ulilosahauhaya sawa bibie umeshinda yaishe...😂

Una uhakika anapendwa?Kuna watu wanajua kupendana![]()
kweli kushindana maneno na mwanamke ni shughuli pevu mpaka kichwa kinauma hapa unanishambulia huku na kwa nyamwi...🤣Hili ndilo ulilosahau![]()
SijakuulizaUna uhakika anapendwa?
unayatafuta ndugu...😂Una uhakika anapendwa?
Siku ile ulinishambulia wewe😅kweli kushindana maneno na mwanamke ni shughuli pevu mpaka kichwa kinauma hapa unanishambulia huku na kwa nyamwi...🤣
Inapendeza..Forever and alwayssssssss💋💋💋😍😍😍😍!
Wa kututendanisha sie ni Allah tu!
So much have happened and here we go 💃🕺!
Barikiwa sana
Smart ukiacha ujinga wa hizo comments za kiwaki na ukatoa maoni kamili unaweza kiwa nyuki na sio nzi. Jirekebishe bro. Kama unaogopa bora uka mute tu asee maana kuna muda huwa unaharibu kwa kusema "ngoja waje wakupe muongozo" "mambo yao waachie wenyewe".
Huo ni ukuda. Kama huna positive contribution kula gunzi arif.
Heri ya siku ya kuzaliwa bro.