Happy birthday Smart911

Happy birthday Smart911

Smart ukiacha ujinga wa hizo comments za kiwaki na ukatoa maoni kamili unaweza kiwa nyuki na sio nzi. Jirekebishe bro. Kama unaogopa bora uka mute tu asee maana kuna muda huwa unaharibu kwa kusema "ngoja waje wakupe muongozo" "mambo yao waachie wenyewe".

Huo ni ukuda. Kama huna positive contribution kula gunzi arif.

Heri ya siku ya kuzaliwa bro.
 
Smart ukiacha ujinga wa hizo comments za kiwaki na ukatoa maoni kamili unaweza kiwa nyuki na sio nzi. Jirekebishe bro. Kama unaogopa bora uka mute tu asee maana kuna muda huwa unaharibu kwa kusema "ngoja waje wakupe muongozo" "mambo yao waachie wenyewe".

Huo ni ukuda. Kama huna positive contribution kula gunzi arif.

Heri ya siku ya kuzaliwa bro.


Kwani hizo koments zina madhara kwa yoyote ???

Acha kukompliketi kihivo aseee!

Much more years to him.
 
Back
Top Bottom