Ahsante nashukuru. Picha Itafuata baadae [emoji2]
Thanks mkuu. [emoji120] [emoji120][emoji15]happy birthday emmy
[emoji115] [emoji109] [emoji817] [emoji106] [emoji781] karib mkuu,Thanks mkuu. [emoji120] [emoji120]
Ukiweka kapicha unitag na mie .,, Kuna watu huwa nimewaumba tu akilini humu Jf cjui ndo huwa wako hivyo kweli..?? Mkituona tusura twenu mtacheka..!!
(N.B) Mi sio mwanachama wa chaputa wala wanga...!! Ni hali ya kiakili tusielewane tofauti...!!
HAPPY B. emmyta.,, Jf mumy wa ukweli...!!!
Thanks my mdogo. [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]Hbd my dada emmyta
Itafanyika hapa hapa tunasibiri watu wamalize kufuturu. [emoji124] [emoji124]Emmyta party inafanykia wap nije
Tumebarikiwa aisee sio siri. Hatuna budi kumshukuru m'mungu azidi kutubariki zaidi ya hapa. [emoji8] [emoji8]Kabisa kabisa.tuliozaliwa june tumebarikiwa sana
Ahsante [emoji120] [emoji120] [emoji120][emoji115] [emoji109] [emoji817] [emoji106] [emoji781] karib mkuu,
nzuri...Thanks mkuu.
Habari za siku tele?
Sijakutupa wangu, tatizo kila ninapo pita sikutani na wewe [emoji23] [emoji23]nzuri...
siku hizi umenitupaa... usifanye hivo.
Ameeeeeeeeeeeeen...Tumebarikiwa aisee sio siri. Hatuna budi kumshukuru m'mungu azidi kutubariki zaidi ya hapa. [emoji8] [emoji8]
Thanks mkuuHBD,
Thanks my dear. [emoji8]
Usijali aunt yake . Na mama yako espy usimuache mwambie namkaribisha pia [emoji2] [emoji2] [emoji2]
ukiitwa kula cake usinisahau jamanVery sory sweetheart, ndio naiona hii notofication now.
Happy birthday dear. Mwenye enzi akujaalie kila lililojema na uzidi kuwa na that beautifull heart daima.
Hope sijachelewa keki.