Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Sasa majobless tunapeana vipi ajira [emoji1787]Ahsante sana shunie jobless mwenzangu, nipe ajira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa majobless tunapeana vipi ajira [emoji1787]Ahsante sana shunie jobless mwenzangu, nipe ajira
Nilisema hapa namfahamu huyu jamaa mda sana hua hazeeki. Anipe hiyo formula.
Much Appreciation Companion🙏You kind gesture is deeply appreciated Ser.
Stay humble too🙏
Nikopoa kabisaAhsante sana pisikali, hujambo...
Una umri mdogo alafu kichwa kimejaa Mambo mengi nyinyi ndio hua mnazeeka mapema, nna dogo yupo hapa Mambo mengi km wewe sasa ameanza kutoka uwalaza kichwani nywele zimegoma kuota na macho yamepoteza Nuru ameenda kupatiwa miwani yenye lens yenye nguvu za kumwezesha kuona na ukizingatia hapo ana miaka 21 tu sasa km sio kuzeeka mapema ni nini ?leo nimetimiza miaka 23
Mkuu mwezi huu tupia story/makala moja ndefu ya kuvunja rekodi humu Jf haijawahi tokea, ukiweka nitagNa naelekea kuzeeka kweli. Ama kweli maarifa ni chanzo cha huzuni na shida maishani.
Wewe chagua hapo unachopenda kukiandia kwa urefu Mimi ntasoma tu bila kuchoka,Chagua mwenyewe ungependa ihusu nini. muvi, Psychology, philosophy, Religious or ??