Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Kwanza mimi nina wasiwasi, miaka 30 ni utu uzima kweli?Kama una miaka 30 mwaka huu inamaana "Nikiwa darasa la kwanza 1994, wewe ndio unazaliwa"
Kumbe huwa tunabishana na madogo sanaa humu..!!!
#YNWA
0-18 mtotoKwanza mimi nina wasiwasi, miaka 30 ni utu uzima kweli?
Mimi nadhani mpangilio ungekuwa hivi...
1)Chini ya 20...MTOTO.
2)20-40 ...KIJANA.
3)40-60 ...MTU MZIMA.
4)60nakuendelea... MZEE
Mtibeli, you still have a long way to go kufikia utu uzima. Almost a decade!
Uko sahihi, mleta uzi bado ni kijana hadi atakavyofikisha 40.0-18 mtoto
19-40 kijana
41-55 makamo
56-80 mzeee
81++ kikongwe
30 ndo kwanza ujana umepamba moto
Kwanza mimi nina wasiwasi, miaka 30 ni utu uzima kweli?
Mimi nadhani mpangilio ungekuwa hivi...
1)Chini ya 20...MTOTO.
2)20-40 ...KIJANA.
3)40-60 ...MTU MZIMA.
4)60nakuendelea... MZEE
Mtibeli, you still have a long way to go kufikia utu uzima. Almost a decade!
Happy birthday mdogo wangu.
Happy birthday to u
tumeshare Mwezi
Happy birthday bro. Wewe ni mtu mwema.
Mtibeli acha hizo, bado hujafikia utu uzima una miaka 10 mbele.Ujana 0- 30
Utu uzima 30 - 60
Uzee 60 -200 huko.
kiongoz unafikisha 40 mwakani wewe ni mtu makamo ππKama una miaka 30 mwaka huu inamaana "Nikiwa darasa la kwanza 1994, wewe ndio unazaliwa"
Kumbe huwa tunabishana na madogo sanaa humu..!!!
#YNWA
Mtibeli acha hizo, bado hujafikia utu uzima una miaka 10 mbele.
So enjoy ujana!
Tar 4 August nitafika umri kam wako.
Shukran sana kijana wanguHappy Birthday Mzee!
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Hata mimi nilidhani nikifika 30 nitakuwa na busara tele, maaaweee.!!
Una kadi hai ya chama?Shukran sana Mkuu. Barikiwa sana