Happy Birthday to me, kwaheri ujana. Sasa ni muda wa busara za kiutu uzima

Sipendi watu wanao ongea sanaa!!
mkeo ana kazi
 
Kumbe mtoto, ndio maana huwa nashindwa kukuelewa. Kumbe bado.
 
Heri ya kuzaliwa .

Jina langu Heriel.

Kiutani utani Mimi ni baba Yako ..

Though nimezaliwa miaka ishirini na tano iliyo pita ,miezi mitatu na Siku 27
 
Mambo ya kusherehekea birthday kwa mwanaume ni uzwazwa na kukosa kazi ya kufanya yaani mwanaume kabisa hayo mambo waachieni kina mama.
 
Wwe jamaa najivunia sana kwa madini yko unayotuletea meng nimeyahifadhi kwenye folder zangu kwa matumizi ya baadae
Napenda mada zako zinazohusu mahusiano
Maisha
Familia nk godbless ndugu
 
Wwe jamaa najivunia sana kwa madini yko unayotuletea meng nimeyahifadhi kwenye folder zangu kwa matumizi ya baadae
Napenda mada zako zinazohusu mahusiano
Maisha
Familia nk godbless ndugu
Hifadhi kichwa sio kwenye folder.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…