Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa. Lol.Kwako ni ngapi huko engineer...🏃
Niko nhe ya wakati kweli but thanks for the tip.Hahahaaa. Ndio ndio 💃💃 yaani sisi wote tumezaliwa tarehe moja na mwezi mmoja.
Kuna uzi mbona upo kwa ajili ya kitafuta uliyezaliwa naye siku moja utafute nawe utapata pacha wenzako huko. 😅
😅 Hili si ndo yale tunaita maswali ya kizushi eti? Lol.Niko nhe ya wakati kweli but thanks for the tip.
Niambie nami ili watu wawe wananianzishia thread za hbd nifanyeje sasa😅
So hypocriticalI'm Sorry, it's done.
Ila nikipigwa Ban kwa kufuta comment uje unitetee[emoji20]
Acha isaundi tu ivo kama vipi. Hahahaaa.Kwangu imesound No
Well I'm doneUkimaanisha nini Tinsley
[emoji23]Basi tu mzee [emoji1787][emoji28][emoji28] Mkuu naikumbuka sana. Why asking mate??
Happy birthday , niggaHey y'all...
Inachukua muda gani mpaka mtu uanze kupostiwa thread za happy birthday humu au ku[emoji85][emoji85][emoji28][emoji28].
Anyway Namshukuru Mungu kwa rehema zake leo nimtimiza miaka 30. It was a long journey Kwakweli. View attachment 2256140
Ulinikera kichizi, sababu nilikuwa niko serious saana katika lile jambo.Inaonyesha hiyo comment ilikuudhi sana mzee[emoji20]
Dar I'm sorry kwakweli mzee ndio Dunia hii ilivyo mkuu, sio kila mtu atakufurahisha halafu kuna wengine sisi tutakukatisha tamaa na kukurudisha nyuma katika malengo yako. Hapo ndio tunakamilisha circle ya maisha na ubinaadamu.Ulinikera kichizi, sababu nilikuwa niko serious saana katika lile jambo.
Wakati mwingine nikipitia ule uzi, japo tayari nishaoa sasa, huwa naitizama saana ile comment, huwa natamani hata sasa nikukaribishe home, umuone na shemeji yako, uone jinsi gani nilikuwa serious.
Ninayajua haya, ndio maana nikasamehe kitambo.Dar I'm sorry kwakweli mzee ndio Dunia hii ilivyo mkuu, sio kila mtu atakufurahisha halafu kuna wengine sisi tutakukatisha tamaa na kukurudisha nyuma katika malengo yako. Hapo ndio tunakamilisha circle ya maisha na ubinaadamu.
Btw.. It'll be heshima kubwa kukaribishwa kumuona shemeji.