Happy birthday to me

Happy birthday to me

Happy birthday to you baby girl, Mungu akupe umri mrefu, akuepushe na maradhi ukatende mema siku zote. Akuongezee hekima na maarifa kila siku.

La muhimu kuliko lolote akupe moyo wa huruma usije niharibia ndoa yangu, maana nimemuona mume wangu leo kawa single kwasababu yako.

Happy birthday mamii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom