Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,094
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Utaelewa mwakani siku kama ya leo [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Utaelewa mwakani siku kama ya leo [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Happy birthday to you baby girl, Mungu akupe umri mrefu, akuepushe na maradhi ukatende mema siku zote. Akuongezee hekima na maarifa kila siku.Ilikua tarehe 14/4 mwaka........ Siku ambayo mama yangu kipenzi kwa uwezo wake mwenyezi mungu alinileta duniani...... Namshukuru mungu nimekua na mpk sasa nakaribia kuitwa mama japo changamoto ni nyingi ila kwa baraka na heri zake muumba wa mbingu na ardhi bado nasimama...... Ahsante mungu kwa kuniongezea mwaka mwingine tena [HASHTAG]#HAPPY[/HASHTAG] BIRTHDAY TO ME#[emoji257] [emoji322] [emoji322] [emoji322]
Nisipoenda kujifungua kabla ya siku sijuiAna mwanamke ana mimba ya miezi 8 atakuja muda si mrefu. Anakudanganya
Daaaah!Tayar ameaminika kwa asilimia mia
Daaah! Misheni yako imefanikiwa aseeHalafu my wife wake keshakuja
Sasa ndo utulie na wewe leo [emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
A huwa namzingua mweeeh! Ujue pale huwa tuna mpima kama ana kupenda kweli
A mwenyewe kasha nizoea
[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]Sasa ndo utulie na wewe leo [emoji23][emoji23]
Nzuri shemeji za masiku teleHabali ya wewe
Worry out mamy..... Mwenyezi mungu atamuondolea mumeo wazo la kishetani la kutaka kuharibu ndoa yake mwenyew.... Kamwe sitokuharibia kipenzi... Barikiwa sana na amani ya moyo itawaleHappy birthday to you baby girl, Mungu akupe umri mrefu, akuepushe na maradhi ukatende mema siku zote. Akuongezee hekima na maarifa kila siku.
La muhimu kuliko lolote akupe moyo wa huruma usije niharibia ndoa yangu, maana nimemuona mume wangu leo kawa single kwasababu yako.
Happy birthday mamii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utaelewa mwakani siku kama ya leo [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Wapi mbona mii sijaona uharibifuBraza nimeharibuuu
Koteeee
I need time alone
Njema kabisa upogo?Nzuri shemeji za masiku tele
Sawa mama nilitaka nikuwekee ushahidiNimepiga Photocopy kila page
Huyu hafai kupakiwa kwenye gari, labda nitafute guta [emoji19]Naomba uje na gari ya polisi uje beba mumeo tafadhali
Leo zamu yakeMkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu