Happy birthday to me

Eti eeh

Sio kwa utetezi huo aiseeh.
Kwahiyo unataka kuniambia kila pendekezo lazima lipitishwe na kuwa sheria?

Wale waliopendekeza walipaswa wafanye vile kwasababu walimuona kijana mate yamemtoka, hawana makosa kabisa.
Hivi unazani angekataa mwenzio angejisikiaje lakini fikilia zaidi na hekema alizonazo dogo unazijua najua ushanielewa hapa sina zadi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…