Happy birthday to me

Happy birthday to me

Hahahhaha weweeee sina likibendi bhanaaaaaa...... Kukaribia kuitwa mama means umri unaruhusu
Hahahaha
Why uliandika hvo lakini? [emoji23]
Mi nikajua ni kibendi

Hebu tufanye mipango birthday yako ya mwakani nikuandikie mimi.
 
Uwe na siku njema ya kuzaliwa rafiki kipenzi wa Hajar Mwenyezi Mungu azidi kukupa uzima uishi maisha marefu zaidi.

tapatalk_1523692007201.gif
 
Back
Top Bottom