Nakuahidi sitakuangushaaa (in JPM z voice)
Jamaa akituangusha tunampgaIceman unataka utafuniwe kabisa?
Waooh thanks kipenzi cha Mimi... BarikiwaUwe na siku njema ya kuzaliwa rafiki kipenzi wa Hajar Mwenyezi Mungu azidi kukupa uzima uishi maisha marefu zaidi.
View attachment 744145
HahahahaHaa haa haa ozil
Nae anampasia morata
Anasema ww ndo unasubiriwa
aitwe mama
Iceman piga [emoji16][emoji122][emoji122][emoji122]Chaaaaaaaa hahaha ntakuchapq
Zesh nafasi ndio hii.Chaaaaaaaa hahaha ntakuchapq
Ha haa haa zang n zaid ya za kifesPicha zako ziwe quality kama za kifesi pls
HahahaHutomwangusha wapi.... Mto wami???
Amiin rafiki. Nawe pia uzidi kubarikiwa.Waooh thanks kipenzi cha Mimi... Barikiwa
Naombeni watanzania mniombeeJamaa akituangusha tunampga
fain ya kipgo cha barca
Maombi tunakuombea Ila SasaNaombeni watanzania mniombee
Nahitaji maombi yenu sana
LinaHappy born day [emoji512]