kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Habari za mda huu wakuu?
Ni jumamosi njema na takatifu kwangu kwakua tarehe Kama ya Leo miaka kadhaa iliyopita nilizaliwa mm hapa .
Sina mengi zaidi napenda kuualika katika tafrija hii itakayofanyika sehemu flan .
Napenda kuwakumbusha kuwa yeyote ataeguswa kuninogesha na balimi asisite kutenda wema
Ni wenu mtiifu sihusiki nao.
Ahksante
Ni jumamosi njema na takatifu kwangu kwakua tarehe Kama ya Leo miaka kadhaa iliyopita nilizaliwa mm hapa .
Sina mengi zaidi napenda kuualika katika tafrija hii itakayofanyika sehemu flan .
Napenda kuwakumbusha kuwa yeyote ataeguswa kuninogesha na balimi asisite kutenda wema
Ni wenu mtiifu sihusiki nao.
Ahksante