Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Dadareda huko ndan ndaniUnatokea mkoa gani?
Hizo pigo za nachingwea ndani ndani huko
😀😀😀😀😀
Uliniita kusudi huku
Happy bday lakini karembooDadareda huko ndan ndani
Happy Birthday ila naona Kama kuna dalili ya tangazo!!
Kuna mtu alinikeraaa unajua. Ahsante kwa kunijua my friend. I will always remain your good friendHaha nimeshangaa ulivyonijibu kavu, nikasema this is not my friend I know
Ulikaona wapHappy bday lakini karemboo
Ohoooo!!!! Best unantafutia kesi wewe. Unajua kwamba Jana kuna mtu ameni-mind why nakotiana na mtu flani hivi humu jamvini??Nope..niliona unalike sana..nikasema huyu mzee baba kwann asicomment tu..kumbe kukuita kwangu kuna mengi👅👅...mpendane
KiasiKumbe katoto kazur iv
[emoji120][emoji179]Happy Birthday beautiful Baby Nimah
Tangazo limelipiwa weka na lako [emoji848]Happy Birthday ila naona Kama kuna dalili ya tangazo!!
Mapenzi bwana..hahaha..magumu sana.hahaa pole bas acha kukwoti hovyohovyo na wwOhoooo!!!! Best unantafutia kesi wewe. Unajua kwamba Jana kuna mtu ameni-mind why nakotiana na mtu flani hivi humu jamvini??
Eee bhana majanga sana. Inabidi tuchague who to quote and who not
It's a chit chat right?? Sisi wengine ni very innocent na mtu akileta kama hizi ndio anatufanya tu-invest whatever possible tumuonyeshe kwamba we canMapenzi bwana..hahaha..magumu sana.hahaa pole bas acha kukwoti hovyohovyo na ww