Happy birthday to me!!!!

Happy birthday to me!!!!

Nope..niliona unalike sana..nikasema huyu mzee baba kwann asicomment tu..kumbe kukuita kwangu kuna mengi👅👅...mpendane
Ohoooo!!!! Best unantafutia kesi wewe. Unajua kwamba Jana kuna mtu ameni-mind why nakotiana na mtu flani hivi humu jamvini??

Eee bhana majanga sana. Inabidi tuchague who to quote and who not
 
Back
Top Bottom