Gentlewoman
Senior Member
- Aug 13, 2018
- 191
- 389
Siku ya leo nimetimiza miaka kadhaa duniani,
Nawashukuru wazazi walionileta duniani
Japo wametangulia mbele za haki(RIP Dad&Mum)
Namshukuru MUNGU kwa uzima na afya,
Sifa na utukufu namrudishia katika kiti chake cha enzi.
Happy birthday to me.
Nawashukuru wazazi walionileta duniani
Japo wametangulia mbele za haki(RIP Dad&Mum)
Namshukuru MUNGU kwa uzima na afya,
Sifa na utukufu namrudishia katika kiti chake cha enzi.
Happy birthday to me.