Tunanze kwanza na wewe..ukiachana na hiyo dunia unayoizungumzia..wewe umeifanyia nini Tanzania hususani kitongoji chako?acha kukariri vyanzo vya furaha kwa watuMnaofurahia siku zenu za kuzaliwa je huwa mnafurahi kutoka moyoni?
Umefanya Nini hapa Duniani tangu umekuja? Furaha inatoka wapi wakati siku zako za kuishi ndo zinapungua?
Thanks Paula Paul 🥰🥰🥰nimefurahi kukuona kwenye uzi wangu 🧚♀️🧚♀️🤸♀️🤸♀️🥂🧚♀️Happy birthday, Chakorii.
No Action Talking OnlyNATO ndo nini Chief
Majukumu shemeji yangu wa kienyejiShemeji wa kienyeji umekuwa adimu sana..ni nini mbaya...au wakienyeji wamekubana sana [emoji28][emoji28]
Asante shemeji yangu wa kienyeji [emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]
AhahahahahahahUnataka kuchomoa betri sasa
Tupo kwa mood leo. Lete number kabla siku haijachangamkaWeeee usiniambie
Wakienyeji ndie yule uliyemuingeji??Majukumu shemeji yangu wa kienyeji
Nilipata ingizo jipya likaniweka busy busy fulani hivi(tumeachana)
Akhsante kushukuru mpendwa
Na zawadi unapokea?
Nasubiria utoe location keki ilipo....Asante Evelyn Salt 🥰🥰🧚♀️🧚♀️🧚♀️🥂🥂🥂
Tukiwa shule wasichana wa weruweru walituita maNATO. Huwa nikiwaona sasa wamestaafu nacheka tuWachaaaa😊
Hahahaha.....Wakienyeji ndie yule uliyemuingeji??
Ndo mana ukawa adimu eee..kumbeee...
Zawadi niitakayo leo ni wewe uniletee babe wangu wa kienyeji
Asante dear..[emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Yeah nalijua hilo..asante sana recycle Bin
Wewe huna smart911 wako humu? Ili akusemee
Hahahaaa. Lol.Uchochezi
Mtani haya mambo ya kwenye mtandao saa nyingne yanataka moyoHahahaaa. Lol.
Mtani unataka mwenye kipingamizi huku hujadamka kuanzisha uzi. 🤣🤣🤣