Happy birthday to me

Happy birthday to me

Asante Mungu kwa afya njema isiyo na mashaka.Ninawashukuru pia wazazi wangu kwa kila kitu na kila hatua ya malezi yao kwangu tangu nimezaliwa.

Leo 22.01.2023 natimiza miaka 36.Ni jambo jema kwangu,though mapambano ya maisha bado yanaendelea with kwa kuonesha upendo penye chuki,amani penye uhasama.Sijafanikiwa na kutimiza ndoto za kimaisha ila naamini zitatimia kwani naamini ktk processes.

Sijaoa bado,changamoto ni ZAMA hizi imekuwa ni jambo gumu kupata mwenza kwetu sie vijana.Na hii ni kwa wote ME na KE. Namtegemea Mungu,yeye anajua hatma yangu.

As am growing up,najiona nakomaa akili na kuwa very tolerant katika kila jambo na hatua ninayopita.

Tuishi kwa upendo,Mungu awabariki marafiki wa Jamiiforums.
Mkubwa mzima unaitwa tamuuu.
Haya Happy birthday 😊😊
 
Asante Mungu kwa afya njema isiyo na mashaka.Ninawashukuru pia wazazi wangu kwa kila kitu na kila hatua ya malezi yao kwangu tangu nimezaliwa.

Leo 22.01.2023 natimiza miaka 36.Ni jambo jema kwangu,though mapambano ya maisha bado yanaendelea with kwa kuonesha upendo penye chuki,amani penye uhasama.Sijafanikiwa na kutimiza ndoto za kimaisha ila naamini zitatimia kwani naamini ktk processes.

Sijaoa bado,changamoto ni ZAMA hizi imekuwa ni jambo gumu kupata mwenza kwetu sie vijana.Na hii ni kwa wote ME na KE. Namtegemea Mungu,yeye anajua hatma yangu.

As am growing up,najiona nakomaa akili na kuwa very tolerant katika kila jambo na hatua ninayopita.

Tuishi kwa upendo,Mungu awabariki marafiki wa Jamiiforums.
We jamaa, inakuwaje unajiita Tamuuuu???? By the way, happy birthday
 
Halafu nimeku- PM but umeifunga PM yako my dada.Tuwasiliane please, tuje tuchome hata nyama Tengeru au mianzini.
Yes, kwasababu naogopa kupigwa nilishakuwa na Mtu anachunga sana Mali yake ila keki ningetoa na wengine wangefanya mengine kwani ukisherekeaje
 
Happy bilated birthday legend, hujaoaaaaaa nini shida tamuuu

tukae kama kamati tusolve hili jambo maana haiwezekani ufike 36 huna mchumbaaaa

hahahhahahaha usinitusi lakini maana nitakuja geto faster

teh teh teh
 
Happy bilated birthday legend, hujaoaaaaaa nini shida tamuuu

tukae kama kamati tusolve hili jambo maana haiwezekani ufike 36 huna mchumbaaaa

hahahhahahaha usinitusi lakini maana nitakuja geto faster

teh teh teh
Hahahaaaaaa daaah acha tu ndugu yangu,zama hizi zimekuwa ngumuuuu
 
Yes, kwasababu naogopa kupigwa nilishakuwa na Mtu anachunga sana Mali yake ila keki ningetoa na wengine wangefanya mengine kwani ukisherekeaje
Heeeeh jamaaani! Sie wengine ni friends tu.
 
Back
Top Bottom