Happy birthday to me

Tatizo huyu memba jamaa yetu ngosha alisha tusagia kunguni...[emoji1787]

Mnataka kuharibu bday ya mtu vijana wa hovyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Mnataka kuharibu bday ya mtu vijana wa hovyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Likijana liliharibu kabisa mkuu, yaani memba alimkula once kisha akamuachia 100k the akasepa. Maskini dada wa watu akakaa lodge 3 days of waiting...😜
 
Nisema asante sana kwa Mungu kwa siku ya leo asante sana
Happy birthday to you....tumeshare birthday jamani....team Gemin[emoji512][emoji512][emoji512][emoji512][emoji512]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…