Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dp yako wapi huko?Ww angalia dp yangu inaonyesha tarehe ngapi
Hana baya na mtu 😎😂Happy birthday figo ishi sana huna baya na mtu
Tatizo huyu memba jamaa yetu ngosha alisha tusagia kunguni...🤣Sio umtumia nauli aje mwanza umlishe cake yake
😅😅 unajaribu tu, kusafisha jina la mangoshaTatizo huyu memba jamaa yetu ngosha alisha tusagia kunguni...🤣
Tatizo huyu memba jamaa yetu ngosha alisha tusagia kunguni...[emoji1787]
Hana baya na mtu [emoji41][emoji23]
😂 Mapambio na yaimbwe kwa kelele za shangwe na vigelegele na nderemo. Hakika bi figo76 amezaliwa na hana baya na mutu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi half American Hilo sio jina languMh ww mnafiki
Sasa hutaki au na Kuna bahasha za Figo zitarudshwa jioni ya leoooJaman
HBD TO YOU.Nisema asante sana kwa Mungu kwa siku ya leo asante sana
Likijana liliharibu kabisa mkuu, yaani memba alimkula once kisha akamuachia 100k the akasepa. Maskini dada wa watu akakaa lodge 3 days of waiting...😜Mnataka kuharibu bday ya mtu vijana wa hovyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Happy birthday to you....tumeshare birthday jamani....team Gemin[emoji512][emoji512][emoji512][emoji512][emoji512]Nisema asante sana kwa Mungu kwa siku ya leo asante sana