Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Hata hivyo ni sawa pia 😅Sina uhakika na kufumba macho…Ila namna nyingine ni kweli kabisa😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hivyo ni sawa pia 😅Sina uhakika na kufumba macho…Ila namna nyingine ni kweli kabisa😁😁
Kumbe huna? Njoo nikupe, siku haitakiwi kupita hivi hivi 😋😋Kwani unafikiri ninayo basi hiyo keki….sina hata
😆😆😆😆😆😆😆😆😆babu umeniamulia.Zawadi yako ya Makande ndiyo ipo Jikoni, Bibi yako ameziunga Nazi.
Nategemea utazipenda 🤗
Mjukuu gani tangu nikuombe uniletee Kiko imepita Miezi 6 kama sio Upare kwa Kuzaliwa itakuwa Upare wa Kurithi 😜🏃🏃
Ili nifute kauli yangu ya Upare kwako fanya unitumie Kiko zangu, alafu nimesikia kuna Kiko kutoka Zimbabwe, wanasema ni nzuri sana kwasisi Wazee 😜😆😆😆😆😆😆😆😆😆babu umeniamulia.
Acha kuzuga ninasubiria hela ya kununua keki acha masihara babu
Babu now you’re talking …Ili nifute kauli yangu ya Upare kwako fanya unitumie Kiko zangu, alafu nimesikia kuna Kiko kutoka Zimbabwe, wanasema ni nzuri sana kwasisi Wazee 😜
Ulitaka Keki ya ngazi ngapi Mjukuu? Nataka nimtume Kijana wa Jirani yangu akuletee 🤗
Sawa, DHL watafika hapo nyumbani soon kukuleteaBabu now you’re talking …
Ya ngazi moja tu mjukuu wako unanijua sipendagi mambo mengi babu
We Nasma _ kuwa makini, huyu Gily ni fisadi kiwembe😂😂😂😂. Yeye na mdogo wake mshamba_hachekwi wanakula Hadi mizofa😂😂😂😁hapana ila huwa na fall sana kwa akina Nasma😬 i need to be carefulView attachment 2645693
Hongera umefanikiwaHaiwezekani umalize wikend salama..lengo ni kukuvuruga na kukutia hasira😁😁
😆😆😆
ur welcome 🤗Thank you Leejay🥰🥰
[emoji7][emoji7][emoji7]Thank you J…
[emoji8][emoji8][emoji8]