Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Aisee 😃😃dah, ningekua na hela ningekutumia kavocha😅 ujobless bana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee 😃😃dah, ningekua na hela ningekutumia kavocha😅 ujobless bana
Yako nilini nikununulie keki imeandikwa https://jamii.app/JFUserGuideHappy birthday to you mkuu, KHERI na nuru iku angazie💪
Happy birthday...Napenda kuchukua nafasi hii adhimu kwa kujipongeza kufika mwaka mwingine tena. nawashukuru wazazi wangu walionileta duniani huko waliko waendelee kupumzika kwa amani. Namshukuru Mungu mwingi wa rehema kwa kuendelea kunilinda pamoja na mapungufu mengi ninayo mtendea kwa namna yeyote ile. Na wale wana JF amabao tumezaliwa tarehe moja hii ya 25/7 pia nawapa hongera. mungu aendelee kutubariki.
happy birthday to me Papag.
ahsanteni na mbarikiwe
Unique Flower nitakuambia ili bichwa lako Kama boga lituliee😂🤣Yako nilini nikununulie keki imeandikwa JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala
I wish you Long lifeNapenda kuchukua nafasi hii adhimu kwa kujipongeza kufika mwaka mwingine tena.
Nawashukuru wazazi wangu walionileta duniani huko waliko waendelee kupumzika kwa amani.
Namshukuru Mungu mwingi wa rehema kwa kuendelea kunilinda pamoja na mapungufu mengi ninayo mtendea kwa namna yeyote ile.
Na wale wana JF amabao tumezaliwa tarehe moja hii ya 25/7 pia nawapa hongera. mungu aendelee kutubariki.
Happy birthday to me Papag.
Ahsanteni na mbarikiwe