Hahahaa naanzaje kusahau sasa. Sijui umeelewa ubabwa ninaozungumzia lakini...??? Hata keki hatukati pacha?Ha ha ha nilikuwa nasubiri tu usahau nilianzishe! Hii birthday imechelewa sana,ingeangukia juzi ningewalisha ubwabwa mchafu!
Jinsi ulivyo na michepuko mingi, mingine hadi umeisahauWewe mimi mke mwenzio kwa wapi
ningepata wa tatu ungekuwa was kwanza kujuaUlikuwa wapi mkeo unasema hajakuona wiki ya tatu leo. Umeshatafuta mke wa tatu eeh nitambulishe basi
Hatukushea, uliachikaAah wapi sikumbuki kama nimewahi kushea na wewe
Hi Marafiki,
Najua mpo bize na Escrow ila naomba muungane na mimi japo dakika chache kuadhimisha siku yangu ya kuzaliwa.
Namshukuru Mungu aliyenipa uhai hadi kufikia tarehe ya leo ambapo nnatimiza miaka........
Nawashukuru pia marafiki zangu mnaonipa kampani,hakika ninyi ni sababu ya mimi kutabasamu.... Mungu awabariki sana sana.
Napokea zawadi, m pesa tigo pesa zipitie kwa my hubby Ntuzu.
HAPPY BIRTHDAY TO MIMI..!!
cc wote wanaonipenda na kuniombea mema.
NB:
Pia nimtakie siku njema ya kuzaliwa kaka yangu wa ukweli kabisa MO11
Nijikute tu, niliopoa mzungu PauloUnamzungumzia Viol? Ulivyokuwa unanicheka mimi eti nimeachwa na wewe kiko wapi?
Nataka talaka yangu.
Huyu mwanamke bingwa wa kuachikaHatukushea, uliachika
Kwahiyo unanidolishia au!!!mkuu acha tu ilikuwa ligi mapenzi mubashara,alidata,mtoto aliniganda basi tu nilifaidi sana