Happy Birthday To mimi Khantwe

Happy Birthday To mimi Khantwe

Ha ha ha nilikuwa nasubiri tu usahau nilianzishe! Hii birthday imechelewa sana,ingeangukia juzi ningewalisha ubwabwa mchafu!
Hahahaa naanzaje kusahau sasa. Sijui umeelewa ubabwa ninaozungumzia lakini...??? Hata keki hatukati pacha?
 
Jitathimini sana dogo..iyatolewa usichana wako bado mapema
 
Leo iwekwe mapumziko humu jf tumezaliwa watu watatu kwa mpigo

RRONDO
sister Khantwe na
MO11

Leo ni sikukuu tu sio kingine

espy njoo unipe ila nitapendelea ubwabwa kisha papa

Madame B kwako nitapata nini baada ya papa na paja??
Ulikuwa wapi mkeo unasema hajakuona wiki ya tatu leo. Umeshatafuta mke wa tatu eeh nitambulishe basi
 
Hi Marafiki,
Najua mpo bize na Escrow ila naomba muungane na mimi japo dakika chache kuadhimisha siku yangu ya kuzaliwa.
Namshukuru Mungu aliyenipa uhai hadi kufikia tarehe ya leo ambapo nnatimiza miaka........
Nawashukuru pia marafiki zangu mnaonipa kampani,hakika ninyi ni sababu ya mimi kutabasamu.... Mungu awabariki sana sana.
Napokea zawadi, m pesa tigo pesa zipitie kwa my hubby Ntuzu.
HAPPY BIRTHDAY TO MIMI..!!
cc wote wanaonipenda na kuniombea mema.
NB:
Pia nimtakie siku njema ya kuzaliwa kaka yangu wa ukweli kabisa MO11

Naomba nikutakie Heri ya kuzaliwa Khantwe. Mungu akubariki na akupe mahitaji yote ya moyo wako. Uwe baraka kwako,familia yako na Jamii yote kwa ujumla.
 
Back
Top Bottom