Ntuzu mimi na Asprin ndoa yetu ilishakufa kitambo nikutambulishe kifaa kpya tu sr bachelor ntakuja nae kama hatofika atawakilishwa na 1st AID
happy birthday mamii Khantwe
Thank u shemd
Babu yako siku nyingi tushaachana Khantwe huyo ulomtaja ni wa ukweli hata nje ya jf yaan serious kabisa
Aaah thanx shemd ila leo ntalala njia kuu huko uwe na moyo mkuu...umelipia siku ngapi?
Oooh hongera sana mamaafacebook kumbe shemeji unaye humhum ndani...kila la kheri kwenye hayo mahusiano,mbarikiwe mzae watoto na wafukishe umri kama wangu huu na kuzidi
Babu yako siku nyingi tushaachana Khantwe huyo ulomtaja ni wa ukweli hata nje ya jf yaan serious kabisa
jamani jamani wiki nzima shemd. inakuwaje sasa. achana na huyo kikongwe
Daaaaahh...!