Happy birthday mzee baba, jf imekuwa sehemu bora kwa sisi waswahili kukutana na kuongea kuhusu hili na lile.
Nje ya maada
Fanya unenepe kidogo mzee huo mwili wako ni hatari kwenye maeneo yenye upepo mkali.
Bonge la dude, hata kikipita kimbunga sina wasiwasi.Duh! Mbona huo mwili ndo mwake mzee baba?haaa nahis ww una likitambii😉😉!
Analindwa sana huyu mkuu! Maisha marefu kwako ndugu MaxNimependa ulinzi wake, picha ya kwanza hapo juu.
Sawa kiongoziUsiharibu Uzi wawatu tafadhali.