Happy Birthday to You Espy

We nafikiri hata ukiwahubiria watoto wanaweza hisi wanaangalia comedy.
Acha zako wewe nimetumikia sana na kusoma neno.

Unafikiri haya yanawezekana tu lazima uwe na roho wa bwana ndani mwako.
 
Ohhh!, atawadai. Mjiandae kununua mpya tena iwe kubwa kuliko..
Nashindwa kuelezea ila Bonny ana details zote za hii cake kuanzia ukubwa na kadhalika. Bado tupo airport wanatusumbua sana, wabongo banah wasione kitu cha tofauti tuu basi wanataka kukukomoa. Na sisi tumeshtuka hatutoi rushwa [emoji6]
 
Ha ha ha ha mzee nmekumbuka hyo story mwenzie akaua hyo ngoz wakatumia kuwamba ngoma ambayo ilitumika kuchezea kama uwanja
Ila hii mzee kwel muulize neybright ndio alikua na jamaa wa TFDA wanamalizana
Hawa jamaa hawaeleweki kama vipi tuwaachie tuu hii cake alafu tumtafutie bidada cake nyingine au wewe unaonaje?
Embu tushauriane kidogo maana hili jambo ni very sensitive lazma tuwe na maamuz magumu kidogo.
 
Mwanamke ni familia katika jumuiya ndogondogo.

Worship is how we express our love, adoration, admiration, and wonder at God’s presence.

There's none like youuuuu[emoji444] [emoji444] [emoji444] [emoji445]
Ameeen! [emoji106] [emoji122]
 
Nashindwa kuelezea ila Bonny ana details zote za hii cake kuanzia ukubwa na kadhalika. Bado tupo airport wanatusumbua sana, wabongo banah wasione kitu cha tofauti tuu basi wanataka kukukomoa. Na sisi tumeshtuka hatutoi rushwa [emoji6]

Hawa jamaa hawaeleweki kama vipi tuwaachie tuu hii cake alafu tumtafutie bidada cake nyingine au wewe unaonaje?
Embu tushauriane kidogo maana hili jambo ni very sensitive lazma tuwe na maamuz magumu kidogo.


Haha!, Ney jamani usinikumbushe kisa kimoja cha watu fulani wa kwetu kukataliwa airport kuingia na vitu vya kula kwenye nchi za wenyewe, kuliko kutupa vyote eti wakaamua kukaa chini na kuanza kula walivyoweza na kutupa vilivyobaki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…