Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Oooh!! Pole sana mpendwa. Ngoda nae kaadimika kweli.Matatizo yaliniandama. Mungu ni mwema hali imerudi ya kawaida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oooh!! Pole sana mpendwa. Ngoda nae kaadimika kweli.Matatizo yaliniandama. Mungu ni mwema hali imerudi ya kawaida
Happy New to you too doll, umemissika
Happy birthday espyAwwww!, Sweety it's your born day!!!!!
Nilikuwa kwenye shughuli mwaya ndo narudi hivyo!, jamani nimechelewa I hope there's a piece of cake for moi!!!
Heaven Sent dear where's ma cake?!
MBITIYAZA na Evelyn Salt nasikia mmeandaa munuso...lol!
Halafu leo Friday, just perfect!!!
Cake yako ipo mbona, ulienda wapi kutoa show leo?
Teh teh teh Mbona mimi sina soko sasa ??Hahahaaaaa!! Kumbe hauna habari? Wahenga ndio wana soko humu.
Thanks dear.
Sasa nikiwapita wote si ndio inafikia ile hatua ya kuanikwa kama mahindi[emoji134] [emoji134]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Nenda kwa uncle.
![]()
Kulagha uhangame ng'wanike!
Na alivyo mvivu hadi kope tutamfungua[emoji28] [emoji23] [emoji23]
Halafu Heaven Sent apate kazi ya kukubeba na kukurudisha asubuhi na jioni!
Na alivyo mvivu hadi kope tutamfungua
Tatizo avatar my kaka[emoji85]Teh teh teh Mbona mimi sina soko sasa ??
😀😀😀😀
Wakati huo nahisi nae atakuwa anabebwa.[emoji28] [emoji23] [emoji23]
Halafu Heaven Sent apate kazi ya kukubeba na kukurudisha asubuhi na jioni!
Amen shem.Ahsante sana. Ni magumu mno ila Mungu ni mwema yupo upande wangu maana sisi wote ni mali yake BWANA.
Ngoda atakuwa ametingwa na majukumu
Si huyu msukuma mwenzio.[emoji3] yupi tena?!!
Thanks.