Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Waoga wasaliti wanatakiana heri!Pamoja na kwamba umewekwa kwenye ile orodha ya "sisimizi' lakini hujakata Tamaa, Umeendelea kuwaelimisha Vijana wa Tanzania kwamba kumbe wao wanaweza kuishi bila kuwa Chawa wala bila kuwa ngazi ya wengine kupandia.
Umefunua uchafu mwingi sana kutoka kwenye mambo mengi mno, hadi ukawekwa gerezani, Wewe ni Nuru ya Vijana wengi sana.
Mungu aendelee kukulinda
View attachment 3110277
Nje ya MadaWaoga wasaliti wanatakiana heri!
Mada ni hii hii!Nje ya Mada
Kwahiyo bila kunitaja humu nyuzi zenu haziendi eeeee?Erythrocyte na mwenzie twaha walikula winga ya kushoto na kupotelea kusikojulikana,wakamwacha mwenyekiti na mwanae wakiswekwa kwenye karandinga.
🤣🤣Mwenyekiti hajakuadhibu kwa kumtelekezea maandamano?.Kwahiyo bila kunitaja humu nyuzi zenu haziendi eeeee?
Aishi sana