Happy birthday Wema Sepetu

Dejane

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
50,587
Reaction score
71,492
leo ni siku ya kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa aliekua miss Tanzania Wema sepetu,sijui anafikisha 27 au 28 maana kasema mwaka 2018 anafikisha 30 sasa naona hapa kati kama pameganda hivi
Mama Diamond kamuwishi wema halaf zari hakumuwish aliemzalia mjukuu lo huyu mama busara zake zipo chini kidogo
Halaf kingine Wema nimemuona kama hayupo sawa hiviiii maana kuna tetesiii yale mambo ya unga yameanza kumpa madhara ,watu wa karibu yake anzeni kumsaidia kabla hajawa kama rayc (naota tu mimi)
Happy birthday Wema sepetu toto lenye lips mashaallah


 
Ila naomba tulijadili bila unafiki. Wema alimwish mama Dai, akam wish Ibo na aunty. Pia na Rommy maana alitaangaza hataki tena kuishi kama mtumwa. Leo hii mama dai kam wish kamama yeye alivyo mwish watu wanasema ni mnafiki. Kwavile haja mwish zari sasa angefanyaje au leo aunt akimwish watu watasema mnafiki guys sioni ubayaya wowote. Mie naona tusimhukumu mojokwamoja
 

Attachments

  • 1475042536166.jpg
    58.7 KB · Views: 76
inaonekana wazi ikitokea leo jamaa ameaga dunia watoto wake watakua kwenye hali mbaya kama hajastuka mapema na jugawanya mali, asee wanaume tuangalie sana tunapoenda kuoa, na nyie wanawake angalieni mnapoenda kuolewa, ni muhim kulio pesa mnazokimbilia kwa mwanaume!!
 
Anachofanya huyu mama ni sahihi yeye ndo anajua wametoka wapi na mwanae angekuwa sio star zari angempata diamond so ana haki ya anachofanya wamepitia shida nyngi na mwanae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…