Happy Birthday Daby .. Mungu akuzidishie miaka mingi sana tuone ukitoboa Majuu na usahau mauchungu ya Bongo. Hahaha
Daah, too bad Shemeji hajui kingereza saaana, leo angemwaga ung'eng'e wa kufa mtu.
Mtakatifu hivi unajua mimi ndugu yako? Endelea kuniharibia tu weweDaby mwezi wa kwanza si tulisherehekea birthday yako? Hii ya mwezi wa tatu imetokea wapi tena?
Hapo huyu husna 100% gharama kwake..
Vitakoma mwaka huu.. Mwisho wa mwezi unakimwaga unakamata shunnie.. April birthday nyingine.
Mi nafurahi tu kula mikeki hiyo
Tunaikata wote bhn... hasa wale memba wa ule uzi. Muite dada yako kwanza na mmewehahhahah kwa nn nisikupitie mzee wa fursa ngoja kwanza tupewe location au ndio wanakata cake wenyewe wawili chumban
Aisee nakuja mida flan na jamaa zangu pande hizo.Mtakatifu hivi unajua mimi ndugu yako? Endelea kuniharibia tu wewe
Atakuona nondo sana. Poa Chalii, furahia siku yako Mkuu.Ahsante saana Compact. Huko lazima twende mkuu kwa namna yoyote.
Tehteh... itabidi twende naye akapigwe msasa mbele. Ila hicho kiwango ukijumlisha na haba namwona British [emoji4]
hahahhhhAhsante saana Compact. Huko lazima twende mkuu kwa namna yoyote.
Tehteh... itabidi twende naye akapigwe msasa mbele. Ila hicho kiwango ukijumlisha na haba namwona British [emoji4]
We si unazinguaga saa zingine? Nakuambiaga uje yale maeneo tuzungumze maneno fulani hutaki. Kwa hiyo hata leo ukinipitia utafikiri nakuelekeza kule kunako.hahhahah kwa nn nisikupitie mzee wa fursa ngoja kwanza tupewe location au ndio wanakata cake wenyewe wawili chumban
Dada anakuja Babu kapotea tunamtafuta siku ya pili leo hatujui alipo tumeshatoa matangazo kwenye tv na radioTunaikata wote bhn... hasa wale memba wa ule uzi. Muite dada yako kwanza na mmewe
nitakupitia tusubili location [emoji23]We si unazinguaga saa zingine? Nakuambiaga uje yale maeneo tuzungumze maneno fulani hutaki. Kwa hiyo hata leo ukinipitia utafikiri nakuelekeza kule kunako.
Ndiyo maana magotii na mabega yamelelemuka. Acha banana nduguAisee nakuja mida flan na jamaa zangu pande hizo.
Banana wine ziwe za kutosha pande hizo.. Keki watakula ma do hao
Pamoja mkuuAtakuona nondo sana. Poa Chalii, furahia siku yako Mkuu.
Mje wote bhana. [emoji58]tutakutana huko huko
hahahhhhNdiyo maana magotii na mabega yamelelemuka. Acha banana ndugu
mahondaw ndiye kanifundisha hii kituNdiyo maana magotii na mabega yamelelemuka. Acha banana ndugu
Swahiba sio wa nchi hii.. haja enda kumpigia kura huko TLS LknDada anakuja Babu kapotea tunamtafuta siku ya pili leo hatujui alipo tumeshatoa matangazo kwenye tv na radio
nitakuja na bae wangu atafute wa kuja naeMje wote bhana. [emoji58]
Wee na weenitakuja na bae wangu atafute wa kuja nae