Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Tofauti ya mahabusu ni kuwa unakuwa uko huru kwenda utakako, hakuna askari anayekufungia mlango, jamaa na familia yako unaishi nayo! Siku yakikukuta ndipo utajua jela ndiyo mahabusu na mahabusu ndiyo jela.Hayuko jela ila mahabusu tu, Acha kupotosha