hashycool
JF-Expert Member
- Oct 2, 2010
- 6,555
- 2,837
hapa nilipo leo kuna kanivo la wajamaica na waifu hayupo around heheheeh naenda kuitest resistance yangu widhauti waifu leo
kaka niko kijiji cha jirani bar wahudumu nyani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapa nilipo leo kuna kanivo la wajamaica na waifu hayupo around heheheeh naenda kuitest resistance yangu widhauti waifu leo
heheheheh niliomba kama utakubali PM
mmmmh......
Wapenzi nawatakia Ijumaa njema na weekend yote kwa ujumla nadhani itakuwa njema sana hasa nikiangalia ndio mwisho wa mwezi wenyewe kwa wale wenzangu walio katika ajira na wale mabiziness man /women ndo mnafanya monthly stock taking..
1.Msisahau family zenu mkazamia Bar na kurudi home mifuko tupu.
2.Msiache kina Eliza wakatumia feza mpaka mifuko ikakung'utwa
3.Kunyweni kwa afya na si kwa mashindano
5.Make sure watoto wanafurahia weekend na baba na mama
6.Wale ma Infiiiiiii ..kumbukeni kutumia Protection lile janga likiingia ndo limeteketeza family na kuacha watoto wanateseka
7.Tafadhari tusiache kutoa zaka Maana tutakuwa tunaomba mungu atupe mafanikio na tunayapata lakini sifa na utukufu tunashindwa kurudisha kwake
![]()
Love u all
nimesahau kukutambulisha kwa mleta sredi. huyu ndio FL1 bana!kaka niko kijiji cha jirani bar wahudumu nyani
nimesahau kukutambulisha kwa mleta sredi. Huyu ndio fl1 bana!
dah kaka.....senks kwa utambulisho mi nilikuwa namcheki kitaa tu
aisee uko baa gani
hivi nani ameangalia utabiri wa hali ya hewa ya botswana leo?
heheheheh.....he or she?mmmmh......
hapa nilipo leo kuna kanivo la wajamaica na waifu hayupo around heheheeh naenda kuitest resistance yangu widhauti waifu leo
Asante Dada FL1. karibu billionaires club pia.
mwika inn.......wana vyumba pia..l.o.l
Asprin, Kaizer na Finest, tabia yenu ya kukimbiza thread kabla sijafika hapa muache.
Thanks FL1, na iwe kwako kama ulivyotaka iwe kwetu mpendwa.
Ubarikiwe sana.
nilifikiri umeenda machi machi guest house
Nikitoka pale Didiz naenda straight to Billionaires Club
Nilifikiri umeenda MACHI MACHI GUEST HOUSE
Finally i did after my girl forced to put my picture as an avatar
ile ya pale kinondoni au kuna nyingine???