Happy Mariage Day:- Njooni tuwape pole waliojitafutia majanga makuu kwenye hii dunia ya utandawazi..!!!

Happy Mariage Day:- Njooni tuwape pole waliojitafutia majanga makuu kwenye hii dunia ya utandawazi..!!!

Tupo mkuu 😊 naziona anniversary kibao za ndoa yangu.

We happy na mtoto kafanana na nani...

Ngoja niweke dedication hapaa

NADIA MUKAMI_KAI WANGU

Some of lyrics....

Mtoto anafanana na nani
Je ana macho kama Nadia Mukami
Atapenda gym kama baba yake Ali
Ndio maswali najiuliza tu kichwani
Niliposikia nakupata
Nililia machozi ya furaha
Ingawa sikuwa ready kukupata
Sina budi sasa kuitwa mama
Ila usijali

Mama yako mchapa kazi sana
Baba yako ana roho safi sana
Wazazi wako wote maarufu sana
Ee wangu ee utatesa sana
Namwita Jina Kai Kai Kai Kai wangu wee
Namwita Jina Kai Kai Kai Kai wangu wee
(Kai, kai kai,) (Kai kai kai yoyo) (oyo yoooo
Ikawe khery mkuu 👊......

Wanasema mzeeke pamoja
 
View attachment 3230318

Dear ndugu TBC kama uko humu naomba nijibu hii picha yako kama ifuatavyo ....

Sababu ni nyepesi tu...

1. Kutapeliwa.
Wapo waliokuwa matajiri wakafunga ndoa na KUFILISIWA.

2. Mdomo.
Siwezi ishi na mtu ambaye kufunga mdomo hawezi.
Kutwaa ni kufungua mdomo tuuu hata kwa mambo ya kipuuzi.

3. Uhuru.
Mambo ya kila nikitaka kufanya kitu au kwenda sehemu nitoe taarifa HAPANA KWA KWELI.

4. Financial superman..!!
Yaani kuna raia ndoa ndio mkombozi wao wa shida zake na familia nzima.

5. Kulea watoto sio wako.
Mimi siwezi kuendekeza upuuzi wa Kitanda hakizai haramu, ni ujinga wa hali ya juuu

6. Kugongewa.
Ndio wanagongewa sanaa ila WANAVUMILIA na kufa na MAGONJWA YA MOYO.

7.....
8....
9...
10....

NARUDI.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Sijawahi kuona shabiki wa Liverpool FC mjinga kama huyu! Wewe mwenyewe hapo ulipo siyo wa baba huyo unayemwita baba!
 
View attachment 3230318

Dear ndugu TBC kama uko humu naomba nijibu hii picha yako kama ifuatavyo ....

Sababu ni nyepesi tu...

1. Kutapeliwa.
Wapo waliokuwa matajiri wakafunga ndoa na KUFILISIWA.

2. Mdomo.
Siwezi ishi na mtu ambaye kufunga mdomo hawezi.
Kutwaa ni kufungua mdomo tuuu hata kwa mambo ya kipuuzi.

3. Uhuru.
Mambo ya kila nikitaka kufanya kitu au kwenda sehemu nitoe taarifa HAPANA KWA KWELI.

4. Financial superman..!!
Yaani kuna raia ndoa ndio mkombozi wao wa shida zake na familia nzima.

5. Kulea watoto sio wako.
Mimi siwezi kuendekeza upuuzi wa Kitanda hakizai haramu, ni ujinga wa hali ya juuu

6. Kugongewa.
Ndio wanagongewa sanaa ila WANAVUMILIA na kufa na MAGONJWA YA MOYO.

7.....
8....
9...
10....

NARUDI.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Tatizo huwa unaangalia ndoa kwa watu waliofeli!
 
Nipe info za mama watoto mlikutana wapi 😂

Na vipi bado upo na kina rechoo 😝
Hahah!kaka Namba Moja ni Classified.😆😆

Namba mbili Kaka Kuna Catty hapo kati. Huyu siku nikiwa na vibe la kuandika ntamuweka palepale kwenye Ndala ZANGU.
 
Hahah!kaka Namba Moja ni Classified.😆😆

Namba mbili Kaka Kuna Catty hapo kati. Huyu siku nikiwa na vibe la kuandika ntamuweka palepale kwenye Ndala ZANGU.
Aaaah kumbe.... Toa ya mama hovering hapo 😂😂

Vp mishe zinaendaj hapo braza
 
Mungu zibariki ndoa zote, zikawe za furaha, amani, upendo, kuvumiliana na kuchukuliana. Na umuondoe shetani anayemuandama mtoa mada, mponye nafsi yake na ufurushi.
 
Ndoa ni kwa ajili ya wanaume tu, vijana wa kiume hapo hamuwezi kuelewa. Ndoa imara ndio inasababisha kuwe na watoto waliolelewa kwenye maadili, wenye kuweza kufanya maamuzi sahihi na kusimama vizuri kwenye nafasi zao ndani ya jamii.

Changamoto zipo nyingi. Ila taasisi ya ndoa haiwezi kupuuzwa na wavulana wachache au mabinti wachache wanaoendekeza umalaya na zinaa.
 
Back
Top Bottom