Happy sabbath, Dini ya kweli ni sabato

Happy sabbath, Dini ya kweli ni sabato

Dini ni Njia! Na hiyo Njia ni Yesu Kristo mwenyewe,(Yohana14:6)
Hiyo Njia ni Kweli ya kumhakikishia mtu kumwona Mungu.
Yesu Kristo Ndiye Sabato yetu katika Agano Jipya! Sabato ni Pumziko! Alikuja Kutuweka Huru na Kutupumzisha kutoka kwenye utumwa wa Dhambi,(Yohana8:31-34)(Mathayo11:28-29)
Kwa kuwa Yesu Kristo ni wa Jana,Leo hata milele,kila iitwapo Leo ni Sabato,(Waebrania13:8) na (Waebrania4:4-7)
Kwa hiyo Sabato siyo ile iliyoadhimishwa siku ya 7 ambayo ilikuwa ni Sabato ya kupumzishwa shughuli za mwili,(Kutoka20:8-10).
Ile ilikuwa ni Kivuli cha Yesu Kristo ambaye Ndiye Sabato ya Kweli!
Kwa hivyo hatuhukumiwi na Sabato ya Siku ya 7 ambayo haiwezi kumpumzisha mtu na Dhambi,
(Wakolosai2:16-18)
Basi kwa kuwa Yesu Kristo yupo hai tumpelekee dhambi atupe Pumziko la Milele.
 
Soma vizuri biblia "vitabu vyote vya Musa".
Hakuna MUNGU Kuna miungu ,njoo ufunguliwe macho ,maana wengi n majuha so hawana hufahamu wa hiyo biblia,na isitoshe mnasoma biblia ya kiswahili iliyotafsiriwa vibaya
 
Kitimoto ingeliwa na kila mtu. Basi huyu mnyama angekuwa ametoweka.

Ni juhudi za kulinda asitoweke.

Elen white alikua mla kitimoto mzuri sana lakini akawapiga biti wasabato wasile kitimoto, dhambi mbaya sana ya unafiki na ubinafsi.
 
Dini ni Njia! Na hiyo Njia ni Yesu Kristo mwenyewe,(Yohana14:6)
Hiyo Njia ni Kweli ya kumhakikishia mtu kumwona Mungu.
Yesu Kristo Ndiye Sabato yetu katika Agano Jipya! Sabato ni Pumziko! Alikuja Kutuweka Huru na Kutupumzisha kutoka kwenye utumwa wa Dhambi,(Yohana8:31-34)(Mathayo11:28-29)
Kwa kuwa Yesu Kristo ni wa Jana,Leo hata milele,kila iitwapo Leo ni Sabato,(Waebrania13:8) na (Waebrania4:4-7)
Kwa hiyo Sabato siyo ile iliyoadhimishwa siku ya 7 ambayo ilikuwa ni Sabato ya kupumzishwa shughuli za mwili,(Kutoka20:8-10).
Ile ilikuwa ni Kivuli cha Yesu Kristo ambaye Ndiye Sabato ya Kweli!
Kwa hivyo hatuhukumiwi na Sabato ya Siku ya 7 ambayo haiwezi kumpumzisha mtu na Dhambi,
(Wakolosai2:16-18)
Basi kwa kuwa Yesu Kristo yupo hai tumpelekee dhambi atupe Pumziko la Milele.
Njoo nikufundishe ,njoo nikufungue macho ,Yesu hajawai kuwepo ,Mwana wa Adam ambayo kiuhalisia angalitakiwa kutafsiriwa katka kiswahili kama "Mwana wa Mtu" kuendana na neno sahihi la kiingereza "Son of Man" ambalo sio Mwana wa Adamu (Son of Adam) kama ilivyotafsiri ya biblia ya kiswahili.Yesu sio Mwana wa Mtu (Son of Man) ni muhusika wa kifasihi aliyetumiwa na waandishi wa Agano Jipya kumuongelea Mwana wa Mtu ambaye n mtu halisi kihistoria na huyu mtu ndiye aliyelibomoa hekalu la Yerusalemu na kuuteketeza mji mwaka 70 AD.ni hivi Agano Jipya liliandikwa baada ya maangamizi ya Yerusalemu ya mwaka 70 A.D nenda hata sasa ukagoogle hapo majibu yatakuwa tu ni kati ya 70AD na 80 AD Agano Jipya liliandikwa.na lengo la kuandika lilikuwa ni kumtukuza aliyeshinda vita ya 70AD na kuonyesha kwamba yeye ndiye aliyekuwa masihi mtabiriwa atakauetawala ulimwengu.na ndio maana wakamtumia muhusika Yesu kwa kumrudisha nyuma kihistoria kuonyesha kwamba Kuna nabii alitabiri ujio wa Mwana wa Mtu (Son of Man) atayekuja kuuangamiza Yerusalemu na kutawala Dunia kwa utukufu wa baba yake.sasa huyu Mwana wa Mtu (Son of Man) ni nani?,soma Daniel 9:26,unasema na watu wa mkuu atakayekuja watauangamiza mji na patakatifu.lakini katika biblia ya kiingereza "watu wa mkuu " wanaitwa "the people of the prince" yaani "watu wa Mwana wa mfalme ".Sasa huyu prince ni nani?,na the people of the prince ni kina nani?.Kujibu swali hili soma Marko 13:34 inasema kwa kiingereza "for the Son Of Man is as a man taking a far journey who left his house and gave authority to his servants and ,to every man his work and commanded the porter to watch ".Kwa hiyo Mwana wa Mtu (Son of Man) ni mtu anayechukua safari ya mbali na kuacha nyumba yake.Mathayo 16:28 inaonyesha kuwa Mwana wa Mtu ana ufalme wake .Mathayo 16:27 inaonyesha kuwa ana baba yake aliye na utukufu yaani ukuu na ana malaika zake.Mathayo 13:41 inasema Mwana wa Mtu atatuma malaika zake watakusanya machukizo na hao watendao maasi.swali hapa hao waitwao machukizo na watendao maasi ni kina nani?.Sasa ndugu yangu kutoka katika mafungu hayo juu nataka nikufumbue macho wewe mwafrika mwenzangu,kwanza huyo prince wa Daniel 9:26 ndiye Son of Man,baba yake alikuwa na ufalme ,huyo si mwingine ni Tito aliyeangamiza Yerusalemu 70 AD,Tito alikuwa ni Mwana wa Vespasian ambaye baadae Vespasian alikuja kuwa ni Kaisari wa Rumi .the people of the prince wa Daniel 9:26 ndio hao katika Mathayo 13:41 anawaita "malaika zake wakusanyao machukizo na watendao maasi ambao kiuhalisia hao machukizo ni wayahudi waliofanya uasi dhidi ya dola la Rumi mwaka 66AD ,kitu kilichofanya mfalme Nero wa Rumi kumtuma kama wake Vespani kipindi hicho bado hajawa Kaisari akaongozana na mwane Tito kwenda Yudea kuzima uasi wa wayahudi, Vespasian aliacha vita inaendelea akarudi Rumi kusimikwa kuwa Kaisari baada ya wanajeshi watiifu kwake kumuua Vitellius aliyekuwa amemrithi Nero,hili tukio fumbo lake ni Luke 19:12 inasema "a certain nobleman went into a far country to receive a kingdom for himself and return .huyu nobleman ni Vespanian.soma Yohana 12:34 inaonesha ni jinsi hili jambo lilivyotengenezwa kwamba iwe ni ngumu kumjua huyu anayeitwa Mwana wa Mtu (Son of Man) ambaye kiuhalisia ni Tito(Titus) na muhusika mkuu katika huu mchezo ni Myahudi Josephus alisaidia sana katika uandishi ambaye mm nasema Josephus Bar Matathias ambaye ndiye muhusika Paulo.kiufupi Wakristo wamekuwa wakimuabudu Tito na baba yake Vespasian,kitu ambacho Kiko hivi Son of Man ,Son=Tito ,Man =Vespasian,God the Son =Tito ,God the Father =Vespasian,read Matthew 11:27
 

Attachments

  • Screenshot_20250222-162314.png
    Screenshot_20250222-162314.png
    32.6 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250222-162328.png
    Screenshot_20250222-162328.png
    39.2 KB · Views: 1
Na maana halisi ya neno injili sio habari njema iletayo uokovu bali ni habari njema ya ushindi wa Rumi dhidi ya wayahudi na dini Yao na kifo cha Yesu na kufufuka kwake si tukio halisi la kihistoria bali ni alama ya kufa kwa dini ya kiyahudi (Judaism) na kuzaliwa dini ya Kikristo ambaye Kristo wake ni Tito.Biblia inasema muhusika Yesu alifariki siku ya maandalio (ijumaa) ambayo ilikuwa ni siku ya muhimu sana katika dini ya kiyahudi akalala kaburini siku ya sabato(Jumaamosi) ambayo ni siku yenye heshima na ya Ibada kwa dini ya kiyahudi ,kulala siku mbili hizi kaburini ni lugha ya picha kuonyesha kuwa dini ya kiyahudi imekufa na ile Imani ya kimasihi ya kiyahudi soma Luke 23;38 hii ni lugha ya picha symbolic language kuonyesha kilichokufa ni Imani ya kimahisi ya kiyahudi ,na kufufuka siku ya kwanza ya juma alfajiri(jumapili) ni alama ya kuzaliwa kwa dini mpya ya kikaisari ambayo kristo wake ni Tito ,ambaye n kristo wa uongo soma Mathayo 24:5..na Paulo anasema huipandayo haihuiki,isipokufa 1Wakorinto 15:36,kinachozaliwa sio mbegu ile ile Bali ni mpya .Africans need light
 
Njoo nikufundishe ,njoo nikufungue macho ,Yesu hajawai kuwepo ,Mwana wa Adam ambayo kiuhalisia angalitakiwa kutafsiriwa katka kiswahili kama "Mwana wa Mtu" kuendana na neno sahihi la kiingereza "Son of Man" ambalo sio Mwana wa Adamu (Son of Adam) kama ilivyotafsiri ya biblia ya kiswahili.Yesu sio Mwana wa Mtu (Son of Man) ni muhusika wa kifasihi aliyetumiwa na waandishi wa Agano Jipya kumuongelea Mwana wa Mtu ambaye n mtu halisi kihistoria na huyu mtu ndiye aliyelibomoa hekalu la Yerusalemu na kuuteketeza mji mwaka 70 AD.ni hivi Agano Jipya liliandikwa baada ya maangamizi ya Yerusalemu ya mwaka 70 A.D nenda hata sasa ukagoogle hapo majibu yatakuwa tu ni kati ya 70AD na 80 AD Agano Jipya liliandikwa.na lengo la kuandika lilikuwa ni kumtukuza aliyeshinda vita ya 70AD na kuonyesha kwamba yeye ndiye aliyekuwa masihi mtabiriwa atakauetawala ulimwengu.na ndio maana wakamtumia muhusika Yesu kwa kumrudisha nyuma kihistoria kuonyesha kwamba Kuna nabii alitabiri ujio wa Mwana wa Mtu (Son of Man) atayekuja kuuangamiza Yerusalemu na kutawala Dunia kwa utukufu wa baba yake.sasa huyu Mwana wa Mtu (Son of Man) ni nani?,soma Daniel 9:26,unasema na watu wa mkuu atakayekuja watauangamiza mji na patakatifu.lakini katika biblia ya kiingereza "watu wa mkuu " wanaitwa "the people of the prince" yaani "watu wa Mwana wa mfalme ".Sasa huyu prince ni nani?,na the people of the prince ni kina nani?.Kujibu swali hili soma Marko 13:34 inasema kwa kiingereza "for the Son Of Man is as a man taking a far journey who left his house and gave authority to his servants and ,to every man his work and commanded the porter to watch ".Kwa hiyo Mwana wa Mtu (Son of Man) ni mtu anayechukua safari ya mbali na kuacha nyumba yake.Mathayo 16:28 inaonyesha kuwa Mwana wa Mtu ana ufalme wake .Mathayo 16:27 inaonyesha kuwa ana baba yake aliye na utukufu yaani ukuu na ana malaika zake.Mathayo 13:41 inasema Mwana wa Mtu atatuma malaika zake watakusanya machukizo na hao watendao maasi.swali hapa hao waitwao machukizo na watendao maasi ni kina nani?.Sasa ndugu yangu kutoka katika mafungu hayo juu nataka nikufumbue macho wewe mwafrika mwenzangu,kwanza huyo prince wa Daniel 9:26 ndiye Son of Man,baba yake alikuwa na ufalme ,huyo si mwingine ni Tito aliyeangamiza Yerusalemu 70 AD,Tito alikuwa ni Mwana wa Vespasian ambaye baadae Vespasian alikuja kuwa ni Kaisari wa Rumi .the people of the prince wa Daniel 9:26 ndio hao katika Mathayo 13:41 anawaita "malaika zake wakusanyao machukizo na watendao maasi ambao kiuhalisia hao machukizo ni wayahudi waliofanya uasi dhidi ya dola la Rumi mwaka 66AD ,kitu kilichofanya mfalme Nero wa Rumi kumtuma kama wake Vespani kipindi hicho bado hajawa Kaisari akaongozana na mwane Tito kwenda Yudea kuzima uasi wa wayahudi, Vespasian aliacha vita inaendelea akarudi Rumi kusimikwa kuwa Kaisari baada ya wanajeshi watiifu kwake kumuua Vitellius aliyekuwa amemrithi Nero,hili tukio fumbo lake ni Luke 19:12 inasema "a certain nobleman went into a far country to receive a kingdom for himself and return .huyu nobleman ni Vespanian.soma Yohana 12:34 inaonesha ni jinsi hili jambo lilivyotengenezwa kwamba iwe ni ngumu kumjua huyu anayeitwa Mwana wa Mtu (Son of Man) ambaye kiuhalisia ni Tito(Titus) na muhusika mkuu katika huu mchezo ni Myahudi Josephus alisaidia sana katika uandishi ambaye mm nasema Josephus Bar Matathias ambaye ndiye muhusika Paulo.kiufupi Wakristo wamekuwa wakimuabudu Tito na baba yake Vespasian,kitu ambacho Kiko hivi Son of Man ,Son=Tito ,Man =Vespasian,God the Son =Tito ,God the Father =Vespasian,read Matthew 11:27
Huna cha kunifundisha hapo!
 
Mtafute MUNGU wa kweli achana na mambo ya uchawa wa dini


Umenena kweli. Watu badala ya kumwabudu Mungu wanapoteza Muda na kuhangaika na uchawa wa dini.

Yesu alisema kuwa Yeye ni Bwana wa Sabato, maana yake ni kwamba tumsikilize Bwana wa Sabato, tusiwe watumwa wa siku. Na mtume Paulo anasema kuwa katika siku alizoziumba Mungu hakuna iliyo takatifu au iliyo ya dhambi. Yesu mwenyewe anasema tusiwe watumwa wa sabato kwa sababu mwanadamu hakuumbwa kwaajili ya sabato bali sabaato ililetwa kwa sababu ya mwanadamu.

Mark 2:27
New International Version
Then he said to them, “The Sabbath was made for man, not man for the Sabbath.
New Living Translation
Then Jesus said to them, “The Sabbath was made to meet the needs of people, and not people to meet the requirements of the Sabbath.

Kwanza sabato, siyo jumamosi. Neno sabato limetokana na neno la kiebrania Shabbath, yaani 'mapumziko'. Na hapo kale mapumziko hayo wayahudi waliyafanya siku ya 7 na mwaka wa 7 wa mavuno. Siku ya 7 iliitwa shabbath, na mwaka wa 7 nao uliitwa Shabbath. Hakukuwahi kuwa na dini inayoitwa Sabato au Shabbath.
 
Dini ni Njia! Na hiyo Njia ni Yesu Kristo mwenyewe,(Yohana14:6)
Hiyo Njia ni Kweli ya kumhakikishia mtu kumwona Mungu.
Yesu Kristo Ndiye Sabato yetu katika Agano Jipya! Sabato ni Pumziko! Alikuja Kutuweka Huru na Kutupumzisha kutoka kwenye utumwa wa Dhambi,(Yohana8:31-34)(Mathayo11:28-29)
Kwa kuwa Yesu Kristo ni wa Jana,Leo hata milele,kila iitwapo Leo ni Sabato,(Waebrania13:8) na (Waebrania4:4-7)
Kwa hiyo Sabato siyo ile iliyoadhimishwa siku ya 7 ambayo ilikuwa ni Sabato ya kupumzishwa shughuli za mwili,(Kutoka20:8-10).
Ile ilikuwa ni Kivuli cha Yesu Kristo ambaye Ndiye Sabato ya Kweli!
Kwa hivyo hatuhukumiwi na Sabato ya Siku ya 7 ambayo haiwezi kumpumzisha mtu na Dhambi,
(Wakolosai2:16-18)
Basi kwa kuwa Yesu Kristo yupo hai tumpelekee dhambi atupe Pumziko la Milele.

Ubarikiwe sana. Una Roho wa Bwana ndani yako. Mungu akubariki, uendelee kuyanena makuu ya bwana kwa hekima sahihi ya Mungu.
 
Huna cha kunifundisha hapo!
The enslaved mind ,the blind one ,wew ni kipofu ,wew ni mtumwa,uliye katika kitanzi na hakika huoni kwa sababu umeshaweka mikono juu ,huna roho wa Afrika,labda kizazi chako kitakomboka.WEWE NI MTUMWA unayesubiria ahadi hewa ya kuja kwa Yesu ,Jesus never existed
 
No God but gods ,enyi vipofu kila jamii Ina muungu wake ,I am not a fool ,Jana nilikaa Chini nikawa nachunguza Agano la kale tena katika biblia ya KJV ,my friends wayahudi walikuwa waabudu miungu mingi (polytheists)
 
Sabato (Jumaamosi)ilikuwa ni ya wayahudi,Jumapili ni kwa Wakristo kanisa katoliki Ninalielewa katika hili kabisa ila wew hufahamu chochote kwa nin Jumapili ni siku ya Ibada na Wala sio Jumaamosi .Waislamu Yao ni ijumaa.hakuna kitu kinachotokea kwa bahati mbaya .soma acha kukariri sumu na maneno ya ovyo ya kikanisa na kimsikiti,be open minded,mwishowe utakuwa huru na kamwe hutokaa kubishania dini ila utagundua ,dini ni utapeli na mila za wahuni wa ng'ambo waliojiongeza wakawapigia chapuo miungu yao kuwa ndio imeumba Dunia na kwamba kila binaadamu anafaa kuiabudu
Surah Al-Baqarah (2:65) states:

"And you had already known about those among you who violated the Sabbath, and We said to them, 'Be apes, despised.'"

Context of this verse:
This verse refers to a group of people among the Children of Israel (Bani Isra'il) who disobeyed the command of Allah regarding the Sabbath. Allah had ordered them to rest and refrain from working on the Sabbath (Saturday), but some of them violated this command. The story describes how, when they disobeyed, Allah punished them by transforming them into apes as a punishment for their disobedience and rebellion against His command. This serves as a reminder of the consequences of not following God's commandments and the seriousness of violating His rules.

Key Message:
This verse emphasizes the importance of obeying God's commands, as failure to do so results in punishment and negative consequences. It also serves as a warning to others to learn from the mistakes of those who disobeyed Allah in the past.


Waebrania 4:10
Maana, kila aingiaye mahali pa pumziko la Mungu atapumzika kutoka katika kazi yake kama vile pia Mungu alivyopumzika kutoka kazi yake.

BHN: Biblia Habari Njema
 
Back
Top Bottom