Happy Valentine's Day my babe

Happy Valentine's Day my babe

Nafuu yako wewe hauna hadi unahangaika na mwanamke hiyo ni mental illness hivi unadhani na mtu humu ambaye hanichori wengi wananienjoy kama kweli mtu hakuenjoy angenipiga tafu kwa vitu nauza hata wewe unanichora kwa maana mmengeniungisha vitu ninavyouza wanadamu wanafiki
Unauza nini kipenzi, mikoani unafanya derivery??
 
Huyo dada ana shida ya mental illness hata hapo katengeneza mchumba wa imagination nafikiri ingekuwa poa mngemsaidia kuliko kumuenjoy
So unadhani nimemtengeneza eh! Pole yako naninajua why nimeandika hivyoo . So endelea kuwaita watu machizi
 
Back
Top Bottom