Wanasingizia mmoja umeongea ukweli ukiwaita ukawaongelesha utajua huna watu.Hahahahahaha..humu mbn wengi tu fuse zimekata ..
Unauza nini kipenzi, mikoani unafanya derivery??Nafuu yako wewe hauna hadi unahangaika na mwanamke hiyo ni mental illness hivi unadhani na mtu humu ambaye hanichori wengi wananienjoy kama kweli mtu hakuenjoy angenipiga tafu kwa vitu nauza hata wewe unanichora kwa maana mmengeniungisha vitu ninavyouza wanadamu wanafiki
Hahahahaaaaaaaaaaa take it easy son πnaona unapata compliments kutoka kwa mchumbaπ
Hee hyo love u too ni forwarded??
Amen.. Na ikawe hivyo raraa reree πMzee wa kulike raraa reree kumbe kampata wa kufanana nae bi wa ku like Leejay49 jamani hongereni sana..kila la heri kwny safari yenu mpya..muendelee ku like ma likes...
Mungu amsaidie apate mchumba kwanza ambaye atabeba weakness zake na kukusaidia kuondoa tatizo lake la mental illness tofauti itakuwa ngumu mwanaume yoyote kumuelewaMuoe da mau mjuvi wa mahaba utaenjoy kaka πππ
Hahahahahaha...mnatofautiana padogo sana...Wanasingizia mmoja umeongea ukweli ukiwaita ukawaongelesha utajua huna watu.
Cc Leejay π sijui nimepatiaMzee wa kulike raraa reree kumbe kampata wa kufanana nae bi wa ku like Leejay49 jamani hongereni sana..kila la heri kwny safari yenu mpya..muendelee ku like ma likes...
Yaaniππ,, nawalike hadi wanaomsema... Nimeacha saizi nitakua namdislike kila atakayemsema dada yetu mauaMimi alinikataza nisicheke πππ
Siku lie ulimshauri alichambua km karanga
So unadhani nimemtengeneza eh! Pole yako naninajua why nimeandika hivyoo . So endelea kuwaita watu machiziHuyo dada ana shida ya mental illness hata hapo katengeneza mchumba wa imagination nafikiri ingekuwa poa mngemsaidia kuliko kumuenjoy
Mimi sina pingamizi πππAmen.. Na ikawe hivyo raraa reree π
Mbona cc na jina zimeunganaππCc Leejay π sijui nimepatia
Siujue kuna shida ipo wapi ukishajua
Imeisha hiyo ππMimi sina pingamizi πππ
Embu baby nifundishe πMbona cc na jina zimeunganaππ
Mpaka nikuone ndo ntaitikia[emoji17]Jirani jirani
Happy valentine