Happy Women's Day

Yap!, word!
Kujitambua muhimu sana aseh, inakupa power within na hakuna kitakachokusumbua.

i rem siku diamond anaongea kuhus mtoto wa hamisa !jaman sik ile nilibak alone ofisin!uwiii nilijihs mie 'me'!!!!
 
Kweli wanawake hatupendani, yaani hata hujajua azma yangu tayari unaniendea kwa mshana jr? [emoji134] [emoji134] [emoji134]
[emoji13] [emoji13] uanze kujitafakari wewe uliyefurahia mwenzio kupewa cha mbavu
 
Binadamu ndivyo walivyo CG na hili si kwa wanawake tu bali hata kwa baadhi ya ME.

Sijui kwanini hatupendani na hata msichana mwenzio akikuona umefanikiwa anakusema vibaya behind your back


Happy women's day
 
Kuheshimiana kwetu hakuhusiani na swali nililokuuliza. Kumbe mi umeniambia utakua busy halafu unaomba mtoko na mke wenzangu Khantwe.
Je Tuko Wangapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…