Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Poa Mida ikifika unambie tukasherekee sikukuu yenuLeo basi.
Mimi ni yule rafiki asiejua kukaa na kitu. Ukikosea nakwambia hata ukasirike. Ndo sababu rafiki zangu wananipenda na wananionaga kama dada yao hata walionizidi umri maana ndo mama ushauri wao.Hahahahahhaaaaa mzigua unajua umenichekesha eti wewe ukimsema sawa ila wengine hautaki wamseme lol😀😀
Urafiki wa kweli ni kuambiana bhana hapa umekosea au fanya hivi
Thank you loveNimekuelewa sana mzingua Wangu,..Mungu atutie nguvu zaidi tuendelee kupambana kumiliki vyetu..wanawake tukitabasamu dunia nzima inajaa FURAHA...Happy Woman's Day to all Beautiful Ladies[emoji122][emoji122][emoji123]
Huo ndo urafiki wa kweli na sio kuanza kumsema mtu wakati mwenyewe yupo unaweza ukamwambia! Kwanza inaleta raha na inazidisha kuimarisha urafiki wenu kuliko unafkiMimi ni yule rafiki asiejua kukaa na kitu. Ukikosea nakwambia hata ukasirike. Ndo sababu rafiki zangu wananipenda na wananionaga kama dada yao hata walionizidi umri maana ndo mama ushauri wao.
Wengine wivu mama. Wengine wanachukia mtu bila sababu. Jiulize hayo yaliyowakuta hao wengine wao walikua na sababu gani ya kufurahia.
Usjal choose the place and I will pay and fulfill the rest.Kuanzia saa moja hivi. Ndugu yako naona kabanwa itabidi unipeleke dinner kabisa halafu umsaidie yote aliyotakiwa kufanya leo
Afadhali wewe umensoma ila MBITIYAZA hakumfahamu hata toneTena ndo yamuhimu hiyo
Asante mkuuHappy women's day beautiful ladies in the house. View attachment 707543
Ameeen
Mmbea anasema yasomuhusu. Mnafki anaweza asiseme ya siri ila anakuchekea machoni moyoni anatamani kukuua.
Si upo morogoro?, sasa vije nisikujue mamito. Ukipita mie nakuwa ni traficah wapi shogale,... sipend utan wa hv!atleast anitanie km twafahamiana!washakariri sana hawa kuwa bila wao HATUSURVIVE....!eti madanga!ovyo sana
cc narumuk
Si upo morogoro?, sasa vije nisikujue mamito. Ukipita mie nakuwa ni trafic