Wow. Happy women's day dears
Unamaaanisha PSG ni ( )siku kama ya leo mwaka mmoja nyuma barcelona aliifunga Psg 6-1
Kwanini hivi inakuaga hivi,mimi ndo mana sinaga marafiki wengi wa kike na sijui kwanini nikienda mahali lazima ntapata marafiki wa kiume kwanza na sio wanawake
Nipo mwaya. Lakini naingia shift ya usiku au mchana kwa bahati mbaya kama hivi..mpaka kwaresma iisheumeadimika kichaa wangu
Nipo mwaya. Lakini naingia shift ya usiku au mchana kwa bahati mbaya kama hivi..mpaka kwaresma iishe
mbon sikuitwa huku dad emmyta [emoji15]Hahaaa. Sijawahi waza kama na wewe ni mmoja ya wanaojua wapi Emmy anatokea. Lol.
Na kweli aisee ni wachache sana wasiojua kulitendea haki jiko.
Ahsante sana. [emoji120] [emoji120]
Pole mdogo wangu nikajua nawe huko Waandamana kusherehekea siku yetu basi. [emoji85] [emoji85] [emoji85].mbon sikuitwa huku dad emmyta [emoji15]
shakusameh dad kun nin leo kwaniPole mdogo wangu nikajua nawe huko Waandamana kusherehekea siku yetu basi. [emoji85] [emoji85] [emoji85].
Nisamehe bure Dadiyo.
Natania bwana
Hahahaa. Hivi hatujapiga stori kule [emoji12] tukaongelea hii siku kweli au nimechanganya madawa?dad sijui chochote dunian kinachoendelea jamn why unasema nimeufany bib jaman
sikuwa mim dad sas ndo nakuelewa nin unamaanisha magufuli legeza baba khaa si kwa kupitwa hukuHahahaa. Hivi hatujapiga stori kule [emoji12] tukaongelea hii siku kweli au nimechanganya madawa?
Kumbe uko nyuma sana mdogo wangu. Ila ndio hivyo leo siku yetu muhimu kabisa mdogo wangu ambayo kutokana na hii siku inapaswa wanawake tujitambue na kutokubali kuwa kwenye Manyanyaso na mateso mbali mbali tunayokumbana nayo kila kukicha.
shakusameh dad kun nin leo kwani