Happy Women's Day

Happy Women's Day

dad sijui chochote dunian kinachoendelea jamn why unasema nimeufany bib jaman
Hahahaa. Hivi hatujapiga stori kule [emoji12] tukaongelea hii siku kweli au nimechanganya madawa?

Kumbe uko nyuma sana mdogo wangu. Ila ndio hivyo leo siku yetu muhimu kabisa mdogo wangu ambayo kutokana na hii siku inapaswa wanawake tujitambue na kutokubali kuwa kwenye Manyanyaso na mateso mbali mbali tunayokumbana nayo kila kukicha.
 
Hahahaa. Hivi hatujapiga stori kule [emoji12] tukaongelea hii siku kweli au nimechanganya madawa?

Kumbe uko nyuma sana mdogo wangu. Ila ndio hivyo leo siku yetu muhimu kabisa mdogo wangu ambayo kutokana na hii siku inapaswa wanawake tujitambue na kutokubali kuwa kwenye Manyanyaso na mateso mbali mbali tunayokumbana nayo kila kukicha.
sikuwa mim dad sas ndo nakuelewa nin unamaanisha magufuli legeza baba khaa si kwa kupitwa huku
 
Back
Top Bottom