GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Simba SC ni Timu ya Wasomi kuliko ile nyingine ya Vibaka Tupu Kariakoo na Ilala hivyo tunataka Mtu wa Kasi hiyo Oky?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu huyu anatoshaSimba SC ni Timu ya Wasomi kuliko ile nyingine ya Vibaka Tupu Kariakoo na Ilala hivyo tunataka Mtu wa Kasi hiyo Oky?
Futa basi maneno ya kubeza utu wa mwenzio siyo sifaMkuu umechelewa sana kuliona hili...ila mimi huyu jamaa sijawahi kumwelewa ni mtu wa hovyo na hajui anachofanya.
Kama Simba ingekua serious hakupaswa kua pale,,Ali kamwe ni comed sometime ila jinsi anavyoelezea club yake kwenye ishu serious hafanani na huyu mbumbu hata kidogo.
Kumradhi nafuta hayo maneno...ila ukweli itabaki hiyo nafasi ameshindwa...Haji Manara pamoja na kua hana elimu na utani mwingi na kejeli kwa Yanga ila hakua kama Ahmed.Futa basi maneno ya kubeza utu wa mwenzio siyo sifa
1. Ahmed ni msomi
2. Ni mwanataaluma wa kazi yake pale Simba fikiri hapo juzi tu Simba iliyumba Ahmed ndo alikuwa mhimili wa timu kuwafariji wachezaji na mashabiki, kusafiri huku na huku
SASA NDO UTUMIE MANENO YA
*mtu wa hovyo
* Mbumbumbu
Hapana siyo sawa kila binadamu ana hulka yake yaani presentable personality usifananishe na mtu mwingine .
Hivi mkeo akwambie wewe mbumbumbu angalia Mume wa Fulani alivyo Smart Mambo yake Hadi Raha UTAJISIKIAJE?????
Naunga mkono hoja, si Kwa sababu ya urafiki wetu Ila Kwa sababu ulichosema ni sahihi 💯. Msemaji ni miongoni mwa vikwazo kwenye timu. Amekuwa kama Spika anachowekewa anatoa bila kuchuja madhara.Simba SC ni Timu ya Wasomi kuliko ile nyingine ya Vibaka Tupu Kariakoo na Ilala hivyo tunataka Mtu wa Kasi hiyo Oky?
Leo sasa ndio nimeelewa kwanini hua wanamuita kispika! Nilikua najiuliza sana, Asante Mkuu! Am gratefulNaunga mkono hoja, si Kwa sababu ya urafiki wetu Ila Kwa sababu ulichosema ni sahihi 💯. Msemaji ni miongoni mwa vikwazo kwenye timu. Amekuwa kama Spika anachowekewa anatoa bila kuchuja madhara.
Kwani zile siku ulizompa Mwenyekiti wako kujiuzulu zimeshapita, au bado! Ungemalizana naye kwanza huyo, kabla ya kuhamia kwa Meneja Habari wako.Simba SC ni Timu ya Wasomi kuliko ile nyingine ya Vibaka Tupu Kariakoo na Ilala hivyo tunataka Mtu wa Kasi hiyo Oky?